Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Hilo tukio limenipa funzo moja hasa kwenye haya mambo ya michango ya harushi, yaani ni bora tujenge utamaduni wa kuchangishana na watu wachache unaofahamiana na ndugu wa karibu ili yanayotokea haya mnakaa sehemu mnapiga sherehe yenu inakuwa kama "get together party" flani hivi kwa kuwa mnafahamiana in person.
Sio utaratibu huu wa sasa unakuta robo tatu ya ukumbi hawana ukaribu na bwana na bibi harushi hata kufanya maamuzi ya michango Yao inakuwa ngumu
Sio utaratibu huu wa sasa unakuta robo tatu ya ukumbi hawana ukaribu na bwana na bibi harushi hata kufanya maamuzi ya michango Yao inakuwa ngumu