Kijana ambaye bado hujaingia kwenye ndoa usithubutu kufanya makosa haya

Kijana ambaye bado hujaingia kwenye ndoa usithubutu kufanya makosa haya

Vijana wa kwenye 20's na wengine hata 30's ni ngumu kuelewa mambo haya hadi yawakute ndio wanashuka wakiwa wamesha Chelsea🏃🏃
Ngumu saaana mpaka apatikane
 
Naongea na vijana wenzangu wale ambao bado hawaja ingia kwenye ndoa bado. Kabla ya kumfuata binti hujamwambia kusudi lako, usisukumwe kumtongoza binti kwa kusukumwa na tamaa za mwilini, maana hisia zako zikikuongoza kumfuata binti utafanya maamuzi ambayo baadaye unaweza kujutia.

Kuna kutokea mimba na ukaingia kwenye mahusiano ya ndoa kwa sababu ya mimba, UTAUMIA
Umefanya kitu tunaita 'fallacy of generalization'.

Sio wote wanaoingia kwenye ndoa kwasababu ya mimba basi wanaishia kujutia. Wapo wengi tu wanafurahia; ingawa wanaoteseka hawakosekani pia.
 
Umefanya kitu tunaita 'fallacy of generalization'.

Sio wote wanaoingia kwenye ndoa kwasababu ya mimba basi wanaishia kujutia. Wapo wengi tu wanafurahia; ingawa wanaoteseka hawakosekani pia.
Nilizungumza kwa upande mmoja wa wanao umizwa .nimekuelewa
 
Naongeza kijana kama unajiweza tafadhal usioe mfanyakazi.....utakufa siku sio zako.oa wa la saba au form four
 
Naongeza kijana kama unajiweza tafadhal usioe mfanyakazi.....utakufa siku sio zako.oa wa la saba au form four
Sio wafanyakazi wote lakini baadhi yao wapo vizuri
 
Back
Top Bottom