Kijana anayetuhumiwa kuiba vifaa vya magari achomwa moto live huku akirekodiwa

Hii video ilisambaa kama sio miaka mitatu basi ni zaidi ya hiyo imepita. Ilikuwa south Africa wakati wahamiaji wakiuawa. Naona imebadilishwa kuwa ya kaka jambazi
Acha uongo kijana.

Ngoja nisiandike sana ili polisi wasije kutafuta raia maeneo ya kimara.
 
Video ni kali, kama hujawahi kupata masaibu ya kuibiwa utaiogopa na kutia huruma.

Nimeiona nikarewind matukio ya wizi yaliyowahi kunikuta na jinsi nilivyopitia hivyo vipindi, nikasema yess "kwanini na wale wezi walioniibia hawakukamatwa"?
Wewe jamaaa nitumie video hiyo
 
Very sad hata kama ndio mwizi kuchoma mtu akiwa hai namna ile ni kosa la jinai hakuna sheria inayoruhusu mtu mumuua mwenzie kwa sababu yoyote ile,
Wananchi wanakuwa na hasira kali na mob psychology inachangia. Tatizo hao wahalifu huwa hawasiti kujeruhi au kufanya mauaji hivyo watu wamewachoka.
 
We ni raia wa nchi za kiarabu au basi tu shobo na jamii isiyokuhusu kwa lolote ?!


Nenda kakae uarabuni basi uonyeshe uzalendo wako kwa jamii hiyo. Msyuuuuuuuuuuuuuuu [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Ni mpuuzi tu sijui mahaba ya aina gani yamemjaa huyu anaweza hata kusaliti nchi yake na wazazi wake sababu ya hao mabwana zake waarabu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]qmmk wallah
 
Kama hivyo bhasi nimehairisha nilikuwa nina mpango nimnunulie dogo bodaboda used apige nayo job nimegopa tusije kuuziwa bodaboda ya wizi yakaja kutukuta...ya nini mie
Unainunua kisheria iwe imeambatana n risiti n vibali vyote halali
 
We ni raia wa nchi za kiarabu au basi tu shobo na jamii isiyokuhusu kwa lolote ?!


Nenda kakae uarabuni basi uonyeshe uzalendo wako kwa jamii hiyo. Msyuuuuuuuuuuuuuuu [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Kule wanaenda kumpa kifaranga cha mbwa anyonyeshe Kama yule dada wa Kenya. Huyu sister ni mwarabu mweusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…