Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,550
- 39,949
Ni mwizi na alikuwa akifahamika. na alishaonywa sana.Swali alikamatwa kwenye mazingira gani?
A.Je alikamatwa red handed?
B. Au vilikamatwa vifaa vikiwa kwake?
Kama jibu ni A sawa ila kama jibu ni B huenda na yeye ameuziwa ni bora angeulizwa aliuziwa na na ni, but its late already.