We una akili kweli au umetumwa? Sisi tunazungumzia 2025 tunataka rais mpya wewe unatuambia 2030? Wacheni porojo kupotosha maboya. Sasa hivi ni kama nchi haina rais. Rais amekalia mipasho ya kiswahili.January Makamba anahofiwa na wanaoutaka Urais 2030 kwakuwa 2015 alifika 5 bora..na katika wote walioingia 5 bora yeye ndio 2030 pekee atakuwa na umri usiozidi miaka 60 hivyo wenzake wanne ni wazee tayari kwa urais wa 2030.
Kuna kijana anautaka sana urais 2030 na anajiona ana uwezo mkubwa sana kuongoza na ana pesa Chafu sana, sasa najua tu walio nyuma yake watakuwa wanampiga vita Makamba Jnr ili kumchafua lakini hawajui Makamba ni Mgumu kama mpingo na anaaminika sana na "JOPPO"
Sasa kumaliza hii Vita mimi 2026 naanza Kuwagaragaza wote wasaka tonge na kuna mtu muhimu anatakiwa awe Rais wetu 2030 yeye ana uwezo wa kuwatuliza hao wawili wanaowindana sasa hivi, ingawa atalishangaza "JOPPO" lakini King Master minder (Mzee Kinana) ataliambia JOPPO kuwa fulani nayensema hapa anaweza maana Urais ni Taasisi atakuwa Ring-Fenced na kila Quality ya ushauri na uzuri Kijana huyo Kijana huyo kajifunza kutoka Kwa baba yake kuwa humble na anashaurika.
CCM hii hatutaki wasaka urais mapema.
Britanicca
Maada ni kitu chochote chenye uzito na kinachochukua nafasi ...... Nafikiri ulimaanisha "mada" mkuu.
Mtajuana wenyeweJanuary Makamba anahofiwa na wanaoutaka Urais 2030 kwakuwa 2015 alifika 5 bora..na katika wote walioingia 5 bora yeye ndio 2030 pekee atakuwa na umri usiozidi miaka 60 hivyo wenzake wanne ni wazee tayari kwa urais wa 2030.
Kuna kijana anautaka sana urais 2030 na anajiona ana uwezo mkubwa sana kuongoza na ana pesa Chafu sana, sasa najua tu walio nyuma yake watakuwa wanampiga vita Makamba Jnr ili kumchafua lakini hawajui Makamba ni Mgumu kama mpingo na anaaminika sana na "JOPPO"
Sasa kumaliza hii Vita mimi 2026 naanza Kuwagaragaza wote wasaka tonge na kuna mtu muhimu anatakiwa awe Rais wetu 2030 yeye ana uwezo wa kuwatuliza hao wawili wanaowindana sasa hivi, ingawa atalishangaza "JOPPO" lakini King Master minder (Mzee Kinana) ataliambia JOPPO kuwa fulani nayensema hapa anaweza maana Urais ni Taasisi atakuwa Ring-Fenced na kila Quality ya ushauri na uzuri Kijana huyo Kijana huyo kajifunza kutoka Kwa baba yake kuwa humble na anashaurika.
CCM hii hatutaki wasaka urais mapema.
Britanicca
Tulambe wote hahah wala si msoga tunarejesha kanda ya ziwaCcm hamtaki wataka madaraka mapema, ila ww unamjua atakayekuwa Rais hiyo 2030! Na mtapiga hela sana kwa hilo group la Msoga line linalotaka urais kwa nguvu. Uniite na mimi kwenye hiyo asali ya wasaka urais tupige hizo hela za kuwapaka rangi.
Hahahah
Wotee hawafai!! Mdogo wake February hafai na Riz-moja hafai!! Urais siyo shamba la kurithishana!Kweli makamba ameiba hela nyingi kwa ajili ya kujipanga na uraisi. Yeye ameona asitumie ile njia aliyotumia mwizi mwenzie ya kuchora mawe. Makamba yeye amedeal na watu mitandaoni,kote tred ni makamba makamba. Hawa ndio wanaotuharibia nchi yetu
January Makamba anahofiwa na wanaoutaka Urais 2030 kwakuwa 2015 alifika 5 bora..na katika wote walioingia 5 bora yeye ndio 2030 pekee atakuwa na umri usiozidi miaka 60 hivyo wenzake wanne ni wazee tayari kwa urais wa 2030.
Kuna kijana anautaka sana urais 2030 na anajiona ana uwezo mkubwa sana kuongoza na ana pesa Chafu sana, sasa najua tu walio nyuma yake watakuwa wanampiga vita Makamba Jnr ili kumchafua lakini hawajui Makamba ni Mgumu kama mpingo na anaaminika sana na "JOPPO"
Sasa kumaliza hii Vita mimi 2026 naanza Kuwagaragaza wote wasaka tonge na kuna mtu muhimu anatakiwa awe Rais wetu 2030 yeye ana uwezo wa kuwatuliza hao wawili wanaowindana sasa hivi, ingawa atalishangaza "JOPPO" lakini King Master minder (Mzee Kinana) ataliambia JOPPO kuwa fulani nayensema hapa anaweza maana Urais ni Taasisi atakuwa Ring-Fenced na kila Quality ya ushauri na uzuri Kijana huyo Kijana huyo kajifunza kutoka Kwa baba yake kuwa humble na anashaurika.
CCM hii hatutaki wasaka urais mapema.
Britanicca
Makamba fala tuJanuary Makamba anahofiwa na wanaoutaka Urais 2030 kwakuwa 2015 alifika 5 bora..na katika wote walioingia 5 bora yeye ndio 2030 pekee atakuwa na umri usiozidi miaka 60 hivyo wenzake wanne ni wazee tayari kwa urais wa 2030.
Kuna kijana anautaka sana urais 2030 na anajiona ana uwezo mkubwa sana kuongoza na ana pesa Chafu sana, sasa najua tu walio nyuma yake watakuwa wanampiga vita Makamba Jnr ili kumchafua lakini hawajui Makamba ni Mgumu kama mpingo na anaaminika sana na "JOPPO"
Sasa kumaliza hii Vita mimi 2026 naanza Kuwagaragaza wote wasaka tonge na kuna mtu muhimu anatakiwa awe Rais wetu 2030 yeye ana uwezo wa kuwatuliza hao wawili wanaowindana sasa hivi, ingawa atalishangaza "JOPPO" lakini King Master minder (Mzee Kinana) ataliambia JOPPO kuwa fulani nayensema hapa anaweza maana Urais ni Taasisi atakuwa Ring-Fenced na kila Quality ya ushauri na uzuri Kijana huyo Kijana huyo kajifunza kutoka Kwa baba yake kuwa humble na anashaurika.
CCM hii hatutaki wasaka urais mapema.
Britanicca
King master mind na Joppo 2030 watakuwa na miaka mingapi…
Kwa kifupi mimi mtazamo wangu by 2030 ingependeza majina kama Makamba, Kikwete, Mwinyi etc yasijitokeze kwenye kinyang’anyiro cha uraisi…we need new blood, new spirit and new Tanzania
Ni bahati mbaya kwako Kanda pendwa ya Ziwa ndiyo factor kuu ya kumpata rais wa JMT.Ngumu kumeza lakini ndiyo asiliNdio Rais wako huyo mwaka 2030, hutaki hama Nchi,
Nyie watu wa kanda ya ziwa mna roho mbaya Sana,japo sio wote, kwa suala la nafasi ya urais msahau kabisa kabisa,syteam tushajifunza mno
Mkuu wakati unaendelea kuwananga Hawa jamaa zetu sukumaland kumbuka wanazo namba za kutosha. Kwa takwimu zilizopo Mwanza,Geita, Shinyanga na Simiyu idadi ya 11.5millioni hao ndiyo kina ngosha,wakiomba msaada kwa majirani zao Mara na Kagera ambao naowana idadi ya 5.6million wanagota 17.2millioni.Siasa ni namba, acheni kuwachokoza. Maana 2015 walithibisha population muscles inavyofanya kaziDikteta ndio hakuwai kuajiri kwa kipindi chake chote,Wala kupandisha madaraja kwa watumishi,
Sukuma gang bado mna maruweruwe ya kufiwa na mungu wenu,
Halafu wewe utakuwa bwabwa,Sasa hivyo vi-emoj umeweka vya Nini,
Kwani hio 2030 mna uhakika mtakuepo madarakani?
Kwa Kakobe au kwa Gwajima ??!Kwa mujibu wa kanuni na taratibu za CCM za kiutamaduni, mgombea urais wa CCM wa 2030 atapaswa kuwa na sifa hizi tatu muhimu.
1. Mwanaume
2. Mtanganyika
3. Mkristo.
Kama Makamba au Ridhwani wana mpango wa urais mwaka 2030 kwa tiketi ya CCM, itabidi wabadili dini sasa na kuwa wakristo, yaani wabatizwe.
Utakuwa umeshafariki!January Makamba anahofiwa na wanaoutaka Urais 2030 kwakuwa 2015 alifika 5 bora..na katika wote walioingia 5 bora yeye ndio 2030 pekee atakuwa na umri usiozidi miaka 60 hivyo wenzake wanne ni wazee tayari kwa urais wa 2030.
Kuna kijana anautaka sana urais 2030 na anajiona ana uwezo mkubwa sana kuongoza na ana pesa Chafu sana, sasa najua tu walio nyuma yake watakuwa wanampiga vita Makamba Jnr ili kumchafua lakini hawajui Makamba ni Mgumu kama mpingo na anaaminika sana na "JOPPO"
Sasa kumaliza hii Vita mimi 2026 naanza Kuwagaragaza wote wasaka tonge na kuna mtu muhimu anatakiwa awe Rais wetu 2030 yeye ana uwezo wa kuwatuliza hao wawili wanaowindana sasa hivi, ingawa atalishangaza "JOPPO" lakini King Master minder (Mzee Kinana) ataliambia JOPPO kuwa fulani nayensema hapa anaweza maana Urais ni Taasisi atakuwa Ring-Fenced na kila Quality ya ushauri na uzuri Kijana huyo Kijana huyo kajifunza kutoka Kwa baba yake kuwa humble na anashaurika.
CCM hii hatutaki wasaka urais mapema.
Britanicca