Kijana anayeutaka Urais 2030 na kujiona ana uwezo mkubwa wa kuongoza na pesa, ndiye anayeleta vita ya Mpina na Makamba

Kijana anayeutaka Urais 2030 na kujiona ana uwezo mkubwa wa kuongoza na pesa, ndiye anayeleta vita ya Mpina na Makamba

January Makamba anahofiwa na wanaoutaka Urais 2030 kwakuwa 2015 alifika 5 bora..na katika wote walioingia 5 bora yeye ndio 2030 pekee atakuwa na umri usiozidi miaka 60 hivyo wenzake wanne ni wazee tayari kwa urais wa 2030.

Kuna kijana anautaka sana urais 2030 na anajiona ana uwezo mkubwa sana kuongoza na ana pesa Chafu sana, sasa najua tu walio nyuma yake watakuwa wanampiga vita Makamba Jnr ili kumchafua lakini hawajui Makamba ni Mgumu kama mpingo na anaaminika sana na "JOPPO"

Sasa kumaliza hii Vita mimi 2026 naanza Kuwagaragaza wote wasaka tonge na kuna mtu muhimu anatakiwa awe Rais wetu 2030 yeye ana uwezo wa kuwatuliza hao wawili wanaowindana sasa hivi, ingawa atalishangaza "JOPPO" lakini King Master minder (Mzee Kinana) ataliambia JOPPO kuwa fulani nayensema hapa anaweza maana Urais ni Taasisi atakuwa Ring-Fenced na kila Quality ya ushauri na uzuri Kijana huyo Kijana huyo kajifunza kutoka Kwa baba yake kuwa humble na anashaurika.

CCM hii hatutaki wasaka urais mapema.

Britanicca
Niliongea mara nyingi kwamba shida hapa ni Urais baada ya Samia sasa tishio ni Makamba JR na Mwigulu Nchemba..

Mwingine anaewatisha Sukuma gang ni Bashe labda na Ummy ila favourite ni hao wawili hapo juu ndio maana wanahaha kila Kona kumchafua..
 
January Makamba anahofiwa na wanaoutaka Urais 2030 kwakuwa 2015 alifika 5 bora..na katika wote walioingia 5 bora yeye ndio 2030 pekee atakuwa na umri usiozidi miaka 60 hivyo wenzake wanne ni wazee tayari kwa urais wa 2030.

Kuna kijana anautaka sana urais 2030 na anajiona ana uwezo mkubwa sana kuongoza na ana pesa Chafu sana, sasa najua tu walio nyuma yake watakuwa wanampiga vita Makamba Jnr ili kumchafua lakini hawajui Makamba ni Mgumu kama mpingo na anaaminika sana na "JOPPO"

Sasa kumaliza hii Vita mimi 2026 naanza Kuwagaragaza wote wasaka tonge na kuna mtu muhimu anatakiwa awe Rais wetu 2030 yeye ana uwezo wa kuwatuliza hao wawili wanaowindana sasa hivi, ingawa atalishangaza "JOPPO" lakini King Master minder (Mzee Kinana) ataliambia JOPPO kuwa fulani nayensema hapa anaweza maana Urais ni Taasisi atakuwa Ring-Fenced na kila Quality ya ushauri na uzuri Kijana huyo Kijana huyo kajifunza kutoka Kwa baba yake kuwa humble na anashaurika.

CCM hii hatutaki wasaka urais mapema.

Britanicca
Mkuu angalia usije ukajikojolea kitandani na ndoto zako za Mwinyi kuwa Rais huku Bara
 
Kabisa mkuu. Anaupiga mwingi sana tozo, mikopo, mfumko wa bei, mgao wa umeme, kutoajiri, machinga kufurushwa, kuhimiza nauli zipande & cos.

Sasa hapo 2025 anatoboaje sasa?
Mama endelea kuupiga mwingi sisi wananchi tupo nyuma yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pamoja na vyote hivyo hakuna Rais aliye deliver kushinda Samia,narudia tena hayupo..

Mengine ni uzushi wa kitoto.Nani atatoboa mbona hili swali mnakwepa kujibu?

Nani wa kusimama na Samia 2025?
 
January Makamba anahofiwa na wanaoutaka Urais 2030 kwakuwa 2015 alifika 5 bora..na katika wote walioingia 5 bora yeye ndio 2030 pekee atakuwa na umri usiozidi miaka 60 hivyo wenzake wanne ni wazee tayari kwa urais wa 2030.

Kuna kijana anautaka sana urais 2030 na anajiona ana uwezo mkubwa sana kuongoza na ana pesa Chafu sana, sasa najua tu walio nyuma yake watakuwa wanampiga vita Makamba Jnr ili kumchafua lakini hawajui Makamba ni Mgumu kama mpingo na anaaminika sana na "JOPPO"

Sasa kumaliza hii Vita mimi 2026 naanza Kuwagaragaza wote wasaka tonge na kuna mtu muhimu anatakiwa awe Rais wetu 2030 yeye ana uwezo wa kuwatuliza hao wawili wanaowindana sasa hivi, ingawa atalishangaza "JOPPO" lakini King Master minder (Mzee Kinana) ataliambia JOPPO kuwa fulani nayensema hapa anaweza maana Urais ni Taasisi atakuwa Ring-Fenced na kila Quality ya ushauri na uzuri Kijana huyo Kijana huyo kajifunza kutoka Kwa baba yake kuwa humble na anashaurika.

CCM hii hatutaki wasaka urais mapema.

Britanicca
Hivi kweli unafikiri nakuwaza eti kamba itafunga mzigo? Nadhani huwinuwi cc... Yaniiiii mmmmmmmmm
 
utamaduni wetu ni kuwa na Rais Christian baadala ya mama... utabiri wangu 2025 anaweza kuja Hussein kumalizia mitano huku na kule Zenji akapewa Nahodha apige mitano...then 2030 anakuja kuwa christian na hii itakuwa pale ambapo CCM Itandelea kuongoza...sio upinzani wowote unaoweza kupewa au kuchukua 2025 mpaka 2030 labda 2050 nayo itategemea na namna CCM itakavyokuwa 2030 to 2040..
Huu sio utabiri ni zile ndoto kama za John wa Chato..

Samia akiwa hai,anzeni kujipanga 2030,,binafsi mimi ni mkristo ila kwa uzoefu wa Nyerere,MKapa na Mwendazake ni wazi Wakristo ni watu wasio na maadili na huwa ni wezi wakubwa na mbaya zaidi ni roho mbaya huwa wanavuruga Sana uchumi wa watu..
 
Atateuliwa kugombea yule ambaye hata hasikiki kabisa kwamba anataka kugombea Urais, Ccm ndivyo walivyo ! Labda kama wameanza kubadilika ! Maana imeanza kuonekana sasa Ccm inakosa au inaelekea kukosa think tank madhubuti kama zamani ! Wengi wameshatangulia mbele ya haki na wengine wameshazeeka !! Kazi IPO !!
Niliongea mara nyingi kwamba shida hapa ni Urais baada ya Samia sasa tishio ni Makamba JR na Mwigulu Nchemba..

Mwingine anaewatisha Sukuma gang ni Bashe labda na Ummy ila favourite ni hao wawili hapo juu ndio maana wanahaha kila Kona kumchafua..
 
Kwa jinsi mama anavyoupiga mwingi, CCM haitoboi 2025.
🤣🤣🤣🤣

Jidanganye.....
cc8e1ecef8aadc57573c14ee76dbf826.jpg
 
January Makamba is smartest.....

Bashe follows the lead......

#Siempre JMT🙏
 
January Makamba anahofiwa na wanaoutaka Urais 2030 kwakuwa 2015 alifika 5 bora..na katika wote walioingia 5 bora yeye ndio 2030 pekee atakuwa na umri usiozidi miaka 60 hivyo wenzake wanne ni wazee tayari kwa urais wa 2030.

Kuna kijana anautaka sana urais 2030 na anajiona ana uwezo mkubwa sana kuongoza na ana pesa Chafu sana, sasa najua tu walio nyuma yake watakuwa wanampiga vita Makamba Jnr ili kumchafua lakini hawajui Makamba ni Mgumu kama mpingo na anaaminika sana na "JOPPO"

Sasa kumaliza hii Vita mimi 2026 naanza Kuwagaragaza wote wasaka tonge na kuna mtu muhimu anatakiwa awe Rais wetu 2030 yeye ana uwezo wa kuwatuliza hao wawili wanaowindana sasa hivi, ingawa atalishangaza "JOPPO" lakini King Master minder (Mzee Kinana) ataliambia JOPPO kuwa fulani nayensema hapa anaweza maana Urais ni Taasisi atakuwa Ring-Fenced na kila Quality ya ushauri na uzuri Kijana huyo Kijana huyo kajifunza kutoka Kwa baba yake kuwa humble na anashaurika.

CCM hii hatutaki wasaka urais mapema.

Britanicca
Mpaka akifika 2025 atakuwa kachafuka hafai ila yy haja stuka ni kinafanyika nyuma yake
 
Atateuliwa kugombea yule ambaye hata hasikiki kabisa kwamba anataka kugombea Urais, Ccm ndivyo walivyo ! Labda kama wameanza kubadilika ! Maana imeanza kuonekana sasa Ccm inakosa au inaelekea kukosa think tank madhubuti kama zamani ! Wengi wameshatangulia mbele ya haki na wengine wameshazeeka !! Kazi IPO !!
Usikariri,kama hivyo ndio kanuni kelele za kumshambulia Makamba zinatoka wapi?
 
January Makamba anahofiwa na wanaoutaka Urais 2030 kwakuwa 2015 alifika 5 bora..na katika wote walioingia 5 bora yeye ndio 2030 pekee atakuwa na umri usiozidi miaka 60 hivyo wenzake wanne ni wazee tayari kwa urais wa 2030.

Kuna kijana anautaka sana urais 2030 na anajiona ana uwezo mkubwa sana kuongoza na ana pesa Chafu sana, sasa najua tu walio nyuma yake watakuwa wanampiga vita Makamba Jnr ili kumchafua lakini hawajui Makamba ni Mgumu kama mpingo na anaaminika sana na "JOPPO"

Sasa kumaliza hii Vita mimi 2026 naanza Kuwagaragaza wote wasaka tonge na kuna mtu muhimu anatakiwa awe Rais wetu 2030 yeye ana uwezo wa kuwatuliza hao wawili wanaowindana sasa hivi, ingawa atalishangaza "JOPPO" lakini King Master minder (Mzee Kinana) ataliambia JOPPO kuwa fulani nayensema hapa anaweza maana Urais ni Taasisi atakuwa Ring-Fenced na kila Quality ya ushauri na uzuri Kijana huyo Kijana huyo kajifunza kutoka Kwa baba yake kuwa humble na anashaurika.

CCM hii hatutaki wasaka urais mapema.

Britanicca
Wewe binafsi "binti anika" unawaza kwa kutumia Tumbo badala ya Kichwa.

Sikuona lingine zaidi la kuweza kukuambia zaidi ya hilo @britanica

Ni ujinga uliopitiliza kuendelea kuwaaminisha watanzania wa leo kwamba kina kinana na Genge la Wahuni wake ndani ya CCM ndio wenye dhamana ya kutuchagulia Rais wa nchi hii 2025.

Tunahitaji sheria mpya ya uchaguzi, yenye kuruhusu wagombea huru.
 
Back
Top Bottom