Unajidanganya. Ndio maana kila siku mnaanzishiwa thread humuMkuu wanawake wazuri hawataki mambo yote hayo,wewe unaonyesha hujui kutongoza,mwanamke yoyote yule anavutiwa na mwanamme anaejiamini,..
Style yako wewe utachunwa tu na wanawake, style yako inaitwa "Buzi style",mwanamme kama wewe unakaribisha wa wanawake wakuchune,pesa wanazopata kwako wanakwenda kutumia na Bad boys...
"Beautiful Women likes bad Guys,gangster style kind of guys "
Ndo maana huwa mnakosa wanawake, we kwani nikimfuata nimecha gari home kwangu, hafu akanieleza shida zake akakuta zinatatuliwa, hafu we unaenda na gari lako hata pesa ya mafuta ya kuungaunga nani ataaminiwa haraka?Mpunga haujitangazi mkuu...gari mavazi kila mtu anayaona...na rahisi mtu kukutafuta sasa hela utakaa barabarani na kutangaza una hela??
WanWake nimechomokea tu ila watu wa level unayoitaka nawapata na kuweza kufanya nao dili kwa kutengeneza brand yako mkuu
Mimi Nimekuelewa, mbona mimi nipo kivyangu vyangu lakini mademu wanashoboka ni vibaya, kila siku mademu wananifuata wenyewe bila hata kuwatongoza tena ni wa maana. viwanja ninavyoingia lazima nichafue meza kwa vinywaji na vya kutafuna tafuna, kuku choma zinapishana kwa muda maalum vinywaji ndio full time. hata siku moja siwezi kula ugali na kachumbali ili niwe na vitu vya thamani ili nimvutie demu. Ni action zangu tu zitawakusanyaKijana tafuta hela, hizo nyingine ni mbwembwe tu
Yaani una hela huna gari??
Yaani una hela huna gari??Ndo maana huwa mnakosa wanawake, we kwani nikimfuata nimecha gari home kwangu, hafu akanieleza shida zake akakuta zinatatuliwa, hafu we unaenda na gari lako hata pesa ya mafuta ya kuungaunga nani ataaminiwa haraka?
Mwanamke uchawi wake ni pesa ukimpa utaona anavyochanganyikiwa
Naomba member yeyote mwenye sunglasses ya $300 aweke LIKE post hii.Haha pata picha umepiga original Prada eyewear ya 300 usd... mkononi una saa ya maana umetupia perfume maridadi then unaingia McDonald’s au burgeking ukutane na mrembo asikutazame?
Mimi sio kijana, I'm older now...
Kama hauko smart na pesa zako utaishia kuhonga na utawekwa nyuma ya mlango huku wenzako wanaojua matumizi wakiwekwa kwa status 24/7Ndo maana huwa mnakosa wanawake, we kwani nikimfuata nimecha gari home kwangu, hafu akanieleza shida zake akakuta zinatatuliwa, hafu we unaenda na gari lako hata pesa ya mafuta ya kuungaunga nani ataaminiwa haraka?
Mwanamke uchawi wake ni pesa ukimpa utaona anavyochanganyikiwa
Kama gari linakupa dili za hela ni muhimu.. .na gari kwa sasa ni basic kama unavyoo msosi na malaziAkili za vijana wa karne 21 wanawaza magari tu hivi mtamiliki uchumi kweli?
Ukiisoma thread kwa umakini utajikuta humo ndani. Just read between the lines!!Mimi Nimekuelewa, mbona mimi nipo kivyangu vyangu lakini mademu wanashoboka ni vibaya, kila siku mademu wananifuata wenyewe bila hata kuwatongoza tena ni wa maana. viwanja ninavyoingia lazima nichafue meza kwa vinywaji na vya kutafuna tafuna, kuku choma zinapishana kwa muda maalum vinywaji ndio full time. hata siku moja siwezi kula ugali na kachumbali ili niwe na vitu vya thamani ili nimvutie demu. Ni action zangu tu zitawakusanya
Tatizo we unabisha tu, kwahiyo utahonga gari? Au ataishi nyumba ya kupanga hadi azeeke? Wanawake huwa wanahesabu za mbali sanaKama hauko smart na pesa zako utaishia kuhonga na utawekwa nyuma ya mlango huku wenzako wanaojua matumizi wakiwekwa kwa status 24/7
Unazani ni kumiliki gari lisilokuingizia pesa?Uchumi ni nini?
Naomba member yeyote mwenye sunglasses ya $300 aweke LIKE post hii.
gotcha..!!Ukiisoma thread kwa umakini utajikuta humo ndani. Just read between the lines!!