Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Hello
Hii kitu ni ya ukweli kabisa sio kutunga nimeshuhudia kulikuwa na usahili hivi juzi huyu kijana unasemekana kwao ana chezewa na ndugu zake kapatwa na matatizo ya kutosikia kabisa mpaka uwe jirani yake ndio umshute aelewe kinacho ongeleka ila nje ya hapo hasikii
Wakaita jina lake kwaajili ya kuhakiki muhusika yupo hasikii wenzake wanao mfahamu ndio waka mwambia jina lako limeitwa ndio kwenda
Kuja kuulizia naambiwa ndugu zake wana mchezea yule usiku anaweza amka na kuanza kutembea mwenyewe au mda mwingine ana jikaba mwenyewe imagen mtoto wa mwenzio una mpa mateso kama haya kweli ase nimeumia sana
Cha ajabu baada ya usahili kuisha juzi nampigia simu rafiki yake kujua maendeleo yake ana niambia now ana anza kusikia ila usiku bado ana endelea kuamka
Hivi wachawi mnatakaga nini najua humu mpo shida nini mnatesa watu naumia sana
Hii kitu ni ya ukweli kabisa sio kutunga nimeshuhudia kulikuwa na usahili hivi juzi huyu kijana unasemekana kwao ana chezewa na ndugu zake kapatwa na matatizo ya kutosikia kabisa mpaka uwe jirani yake ndio umshute aelewe kinacho ongeleka ila nje ya hapo hasikii
Wakaita jina lake kwaajili ya kuhakiki muhusika yupo hasikii wenzake wanao mfahamu ndio waka mwambia jina lako limeitwa ndio kwenda
Kuja kuulizia naambiwa ndugu zake wana mchezea yule usiku anaweza amka na kuanza kutembea mwenyewe au mda mwingine ana jikaba mwenyewe imagen mtoto wa mwenzio una mpa mateso kama haya kweli ase nimeumia sana
Cha ajabu baada ya usahili kuisha juzi nampigia simu rafiki yake kujua maendeleo yake ana niambia now ana anza kusikia ila usiku bado ana endelea kuamka
Hivi wachawi mnatakaga nini najua humu mpo shida nini mnatesa watu naumia sana