LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
๐๐๐๐๐Unataka kujau kuhusu mimi itakusaidia nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐Unataka kujau kuhusu mimi itakusaidia nini?
Chukua kama ilivyo.Wameenda hospital hawajaona tatizo?
Mungu amponye harakaNi mtihani sana, Kuna mama mwanae anasoma na mwanangu darasa la tano sasa ule urafiki wao ukapelekea sisi wazazi kufahamiana.
Ikatokea watoto wetu wamegombana wenyewe huko shule tukawapatanisha lakini nikaona kama yule mzazi hakua karibu nami kama mwanzo (dhana ni mbaya)
Wiki iliyopita yule mama akanipigia mama flani nisamehe sijakutafuta muda mrefu nimepata mtihani toka tar 20/12 mtoto kaamka ghafla hasikii ameshazunguka hospital kubwa hapa dar lkn ndio imekua hvyo mtoto amepoteza usikivu
Sasa kaka mtu anajikaba mwenyewe usiku hospital wanaitibu na hii kwamba ni mental au kukimbia usiku na huku ajui nakokwenda?Chukua kama ilivyo.
Kibongobongo hayo sio maswali ya msingi ila kuamini tu kua karogwa.
Aiseee sio POA dawa ya mchawi ni kumchana live na kusali basiHello
Hii kitu ni ya ukweli kabisa sio kutunga nimeshuhudia kulikuwa na usahili hivi juzi huyu kijana unasemekana kwao ana chezewa na ndugu zake kapatwa na matatizo ya kutosikia kabisa mpaka uwe jirani yake ndio umshute aelewe kinacho ongeleka ila nje ya hapo hasikii
Wakaita jina lake kwaajili ya kuhakiki muhusika yupo hasikii wenzake wanao mfahamu ndio waka mwambia jina lako limeitwa ndio kwenda
Kuja kuulizia naambiwa ndugu zake wana mchezea yule usiku anaweza amka na kuanza kutembea mwenyewe au mda mwingine ana jikaba mwenyewe imagen mtoto wa mwenzio una mpa mateso kama haya kweli ase nimeumia sana
Cha ajabu baada ya usahili kuisha juzi nampigia simu rafiki yake kujua maendeleo yake ana niambia now ana anza kusikia ila usiku bado ana endelea kuamka
Hivi wachawi mnatakaga nini najua humu mpo shida nini mnatesa watu naumia sana
Acha tu ase kuna mambo yanasikitisha sanaUnamkumbuka wa op yako masanja na intake yako. Pale oljoro alichanganyikiwa ndani ya six weeks hadi alisitishiwa shule, alikua anapiga simu mtaani kwake anawambia wasubiri atoke atawanyoosha wezi wa mazao yake.,Wakamuwahi.
Mimi nikija kumjua naondoka na shingo ya mtuAiseee sio POA dawa ya mchawi ni kumchana live na kusali basi
Kwenye hili mlikuwa wazembe, hakuchukua akili zenuMshikaji mmoja alikua Mchawi basi a kuingia kwenye paper ana chukua Akili zetu wote darasani,basi tu nashindwa kufanya paper tunakausha kimya.
Na watu wanao turoga ni wakaribuUchawi upo
Bad news ni kwamba yule ndugu unae muamini, sometime tumbo moja kabisa. Dada au kaka, wengine hadi wazazMimi nikija kumjua naondoka na shingo ya mtu
Kapelekwa huko hospital?? Au ndio kuamini tu kua karogwa moja kwa moja??Sasa kaka mtu anajikaba mwenyewe usiku hospital wanaitibu na hii kwamba ni mental au kukimbia usiku na huku ajui nakokwenda?
Mungu awalaaniKuna wengine wanapenda mtu akiteseka ndio furaha yao.
Yesu dah nikija mjua naondoka na shingo ya mtu akiananBad news ni kwamba yule ndugu unae muamini, sometime tumbo moja kabisa. Dada au kaka, wengine hadi wazaz
MZazi anakuchezea ili mtoto anae mpenda ndio afanikiwe si mtoto wewe
Kapelekwa na dawa za hospital anatumiaKapelekwa huko hospital?? Au ndio kuamini tu kua karogwa moja kwa moja??
Mzee wake Salehe umempata na Salehe?Hello
Hii kitu ni ya ukweli kabisa sio kutunga nimeshuhudia kulikuwa na usahili hivi juzi huyu kijana unasemekana kwao ana chezewa na ndugu zake kapatwa na matatizo ya kutosikia kabisa mpaka uwe jirani yake ndio umshute aelewe kinacho ongeleka ila nje ya hapo hasikii
Wakaita jina lake kwaajili ya kuhakiki muhusika yupo hasikii wenzake wanao mfahamu ndio waka mwambia jina lako limeitwa ndio kwenda
Kuja kuulizia naambiwa ndugu zake wana mchezea yule usiku anaweza amka na kuanza kutembea mwenyewe au mda mwingine ana jikaba mwenyewe imagen mtoto wa mwenzio una mpa mateso kama haya kweli ase nimeumia sana
Cha ajabu baada ya usahili kuisha juzi nampigia simu rafiki yake kujua maendeleo yake ana niambia now ana anza kusikia ila usiku bado ana endelea kuamka
Hivi wachawi mnatakaga nini najua humu mpo shida nini mnatesa watu naumia sana