Akhi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2021
- 3,380
- 5,906
Hili pia nina ushuhuda naloKuna mshkaji mmoja tulikuwa tunasoma nae.. alikuwa kichwa balaa yule jamaa ila ikifika kwenye paper alikuwa haoni kitu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili pia nina ushuhuda naloKuna mshkaji mmoja tulikuwa tunasoma nae.. alikuwa kichwa balaa yule jamaa ila ikifika kwenye paper alikuwa haoni kitu..
Bamusakata na walozi😇😇Hello
Hii kitu ni ya ukweli kabisa sio kutunga nimeshuhudia kulikuwa na usahili hivi juzi huyu kijana unasemekana kwao ana chezewa na ndugu zake kapatwa na matatizo ya kutosikia kabisa mpaka uwe jirani yake ndio umshute aelewe kinacho ongeleka ila nje ya hapo hasikii
Wakaita jina lake kwaajili ya kuhakiki muhusika yupo hasikii wenzake wanao mfahamu ndio waka mwambia jina lako limeitwa ndio kwenda
Kuja kuulizia naambiwa ndugu zake wana mchezea yule usiku anaweza amka na kuanza kutembea mwenyewe au mda mwingine ana jikaba mwenyewe imagen mtoto wa mwenzio una mpa mateso kama haya kweli ase nimeumia sana
Cha ajabu baada ya usahili kuisha juzi nampigia simu rafiki yake kujua maendeleo yake ana niambia now ana anza kusikia ila usiku bado ana endelea kuamka
Hivi wachawi mnatakaga nini najua humu mpo shida nini mnatesa watu naumia sana
Una fix wewe!Machawi ni ya hovyo sana.
Mimi walijaribu ila nikashughulika nao KIMKAKATI mpaka wakabaki na butwaa.
DuuuhKizimkazi hakai kizembe. Kuna madude toka ujombani Oman na Yemen. Ukienda kizembe unakata roho.
Yapo nyuma yake saa zote.View attachment 3213858
Muda mwingine bora kujaribisha hospital kwanza wasipoona tatizo ndo mnaenda kwa mganga wa kienyeji.Chukua kama ilivyo.
Kibongobongo hayo sio maswali ya msingi ila kuamini tu kua karogwa.
Mchezo wa kuanzia Dodoma mpakani na babati na kuendelea huo!!Kuna mshkaji mmoja tulikuwa tunasoma nae.. alikuwa kichwa balaa yule jamaa ila ikifika kwenye paper alikuwa haoni kitu..
Nyie si mnanichukulia kimaskharaa, mimi ni MBADI HASWAAAAAA!Una fix wewe!
AmeenMungu amponye haraka
AminaMungu tuomba utulinde
How?Machawi ni ya hovyo sana.
Mimi walijaribu ila nikashughulika nao KIMKAKATI mpaka wakabaki na butwaa.
Hapana 😂Mzee wake Salehe umempata na Salehe?
Sipend hayo mambo kujiunganisha nayoBamusakata na walozi😇😇
Akuje Kigoma nikirudi. Dawa ya mlozi ni mlozi.
Utani pm nikupe namba ya mlozi mkuu.
Ndo washaamini karogwa sasa, hospitali atapelekwa kama ushahidi tu.Muda mwingine bora kujaribisha hospital kwanza wasipoona tatizo ndo mnaenda kwa mganga wa kienyeji.
Mbaya sana mkuu watu msiage icho ndich nilicho juaHaya mambo changamoto yake huwezi kuyatolea ushahidi ila yapo sana
Kuna jamaa tulimaliza naye A'level na kuchaguliwa wote kwenda Chuo kikuu, we all took engineering.
Jamaa hata semester hakumaliza, akawa Chizi, hivyo ku-postpone masomo
Hivyo kurudishwa Kijijini kwao
Wakati tunaingia second year, yeye alishauriwa abadili course kwamba pengine Masomo ya Uhandisi yalikuwa magumu kwake. Hivyo akaenda kusoma Education
Nayenyewe hakumaliza Mwaka, kichaa kikamuanza tena
Kumbe ndugu zake huko Kijijini, hawakufurahishwa naye kufauru na kuendelea na Elimu ya Juu
Kwasasa jamaa analima tu kule kwao, hana cha familia Wala nini licha ya kuwa umri wetu umeenda
Waafrika hasa ndugu, baadhi hupenda kurudishana nyuma
Furaha yao ni kuona hupigi hatua za kimaisha 🙌
Ni vile havijataka kujidhihirsha kwakoMim sinaga Iman na Ivo vitu ila nawaza siku vikinitokea nitaelewa Dunia ilivo