Kijana huyu kaniumiza sana ndugu wabaya sana

Kijana huyu kaniumiza sana ndugu wabaya sana

Hello

Hii kitu ni ya ukweli kabisa sio kutunga nimeshuhudia kulikuwa na usahili hivi juzi huyu kijana unasemekana kwao ana chezewa na ndugu zake kapatwa na matatizo ya kutosikia kabisa mpaka uwe jirani yake ndio umshute aelewe kinacho ongeleka ila nje ya hapo hasikii

Wakaita jina lake kwaajili ya kuhakiki muhusika yupo hasikii wenzake wanao mfahamu ndio waka mwambia jina lako limeitwa ndio kwenda

Kuja kuulizia naambiwa ndugu zake wana mchezea yule usiku anaweza amka na kuanza kutembea mwenyewe au mda mwingine ana jikaba mwenyewe imagen mtoto wa mwenzio una mpa mateso kama haya kweli ase nimeumia sana

Cha ajabu baada ya usahili kuisha juzi nampigia simu rafiki yake kujua maendeleo yake ana niambia now ana anza kusikia ila usiku bado ana endelea kuamka

Hivi wachawi mnatakaga nini najua humu mpo shida nini mnatesa watu naumia sana
Bamusakata na walozi😇😇

Akuje Kigoma nikirudi. Dawa ya mlozi ni mlozi.

Utani pm nikupe namba ya mlozi mkuu.
 
Haya mambo changamoto yake huwezi kuyatolea ushahidi ila yapo sana

Kuna jamaa tulimaliza naye A'level na kuchaguliwa wote kwenda Chuo kikuu, we all took engineering.

Jamaa hata semester hakumaliza, akawa Chizi, hivyo ku-postpone masomo

Hivyo kurudishwa Kijijini kwao

Wakati tunaingia second year, yeye alishauriwa abadili course kwamba pengine Masomo ya Uhandisi yalikuwa magumu kwake. Hivyo akaenda kusoma Education

Nayenyewe hakumaliza Mwaka, kichaa kikamuanza tena

Kumbe ndugu zake huko Kijijini, hawakufurahishwa naye kufauru na kuendelea na Elimu ya Juu

Kwasasa jamaa analima tu kule kwao, hana cha familia Wala nini licha ya kuwa umri wetu umeenda

Waafrika hasa ndugu, baadhi hupenda kurudishana nyuma

Furaha yao ni kuona hupigi hatua za kimaisha 🙌
 
Una fix wewe!
Nyie si mnanichukulia kimaskharaa, mimi ni MBADI HASWAAAAAA!

Walijaribu kunitumiaa madude mabaya sana lakini niliya-neutralize swiftly and smartly.

Nilipata madhara kiasi lakini nilifanikiwa kuyadhibiti kikamilifu.

Nachekesha eeeehh???? Hatari FIREE usiombe...

Sema sisi wengine hatulogeki hivyo...... maana kwa ndani tuna mitambo mizito sana, ukija kichwa kichwa utasambaratika.

Cc: Extrovert
 
Haya mambo changamoto yake huwezi kuyatolea ushahidi ila yapo sana

Kuna jamaa tulimaliza naye A'level na kuchaguliwa wote kwenda Chuo kikuu, we all took engineering.

Jamaa hata semester hakumaliza, akawa Chizi, hivyo ku-postpone masomo

Hivyo kurudishwa Kijijini kwao

Wakati tunaingia second year, yeye alishauriwa abadili course kwamba pengine Masomo ya Uhandisi yalikuwa magumu kwake. Hivyo akaenda kusoma Education

Nayenyewe hakumaliza Mwaka, kichaa kikamuanza tena

Kumbe ndugu zake huko Kijijini, hawakufurahishwa naye kufauru na kuendelea na Elimu ya Juu

Kwasasa jamaa analima tu kule kwao, hana cha familia Wala nini licha ya kuwa umri wetu umeenda

Waafrika hasa ndugu, baadhi hupenda kurudishana nyuma

Furaha yao ni kuona hupigi hatua za kimaisha 🙌
Mbaya sana mkuu watu msiage icho ndich nilicho jua
 
Back
Top Bottom