Kijana huyu kaniumiza sana ndugu wabaya sana

Kijana huyu kaniumiza sana ndugu wabaya sana

Mbaya sana mkuu watu msiage icho ndich nilicho jua
Ndiyo maana baadhi wakishatoka Kijijini kwao, huwa hawarudi kuogopa hayo mambo

Kuna boss mmoja wa kiwanda cha beer cha TBL alifariki mwaka Fulani

Yaani tangu atoke Kijijini ilipita miaka 33 hivi, ndiyo kuletwa akiwa amefariki

Watu wanaogopa hayo hayo mambo ya kuumizana kishirikina
 
Ndiyo maana baadhi wakishatoka Kijijini kwao, huwa hawarudi kuogopa hayo mambo

Kuna boss mmoja wa kiwanda cha beer cha TBL alifariki mwaka Fulani

Yaani tangu atoke Kijijini ilipita miaka 33 hivi, ndiyo kuletwa akiwa amefariki

Watu wanaogopa hayo hayo mambo ya kuumizana kishirikina
Watu wabaya san
 
Walinijaribu lakini viliwarudia.

Hawakujua aliyemo KWA NDANI sio wa ulimwengu huu. WALICHAKAAA...

Napeta tu halafu nacheeekaaaaaaa.......

Sasa hivi wanatapatapa tu baada ya kuona ndani kuna mitambo mizito wanahangaika kuloga mazingira yanayonizunguka na kucheza na akili yangu, lakini hata huko pia nitapambana nao kikamilifu.

Cc: ChoiceVariable Lucas Mwashambwa Dogoli kinyamkela
 
Haya mambo huwa magumu sana, advance nakumbuka tulisoma na jamaa mmoja alikuwa kichwa ila karibu na mitihani alikuwa anapotea kabisa ataenda kukutwa umbali wa karibu kilomita 60 huko.

Nakumbuka Advance, NECTA yule jamaa hakufanya paper moja na bado alitoka na Div. 2. Hiyo siku ya paper alitoka asubuhi sisi tunajiandaa ghafla dakika za kuhesabu haonekani, ile kutoa taarifa mwalimu mmoja akatoa piki piki yake wakaanza mfuatilia kumtafuta. Ogopa kitu kama saa moja tu jamaa walimkuta kashavuka wilaya nyingine anatembea peku peku kilomita kama 70 hivi na hatoki jasho hata.

Ile kitu nilikua nashangaa sana. Na stori ni hizo hizo huko kwao wanamchezea
 
Haya mambo huwa magumu sana, advance nakumbuka tulisoma na jamaa mmoja alikuwa kichwa ila karibu na mitihani alikuwa anapotea kabisa ataenda kukutwa umbali wa karibu kilomita 60 huko.

Nakumbuka Advance, NECTA yule jamaa hakufanya paper moja na bado alitoka na Div. 2. Hiyo siku ya paper alitoka asubuhi sisi tunajiandaa ghafla dakika za kuhesabu haonekani, ile kutoa taarifa mwalimu mmoja akatoa piki piki yake wakaanza mfuatilia kumtafuta. Ogopa kitu kama saa moja tu jamaa walimkuta kashavuka wilaya nyingine anatembea peku peku kilomita kama 70 hivi na hatoki jasho hata.

Ile kitu nilikua nashangaa sana. Na stori ni hizo hizo huko kwao wanamchezea
Tanzania matatizo ya afya ya akili yanaonekana ni uchawi.

Hakuna elimu ya afya ya akili.

Hakuna wataalam, na tiba toshelevu ya afya ya akili.

Kama unabisha muulize mtu yeyote magonjwa matatu tu ya akili uone...

Hii ni changamoto kubwa.

Tunaamini uchawi tu, hadithi za kutungwa ambazo hazina tija yeyote. Mwishoni mtu akishindwa kabisa kusaidika atatengwa kwa visingizio vya laana na mikosi.
 
Tanzania matatizo ya afya ya akili yanaonekana ni uchawi.

Hakuna elimu ya afya ya akili.

Hakuna wataalam, na tiba toshelevu ya afya ya akili.

Kama unabisha muulize mtu yeyote magonjwa matatu tu ya akili uone...

Hii ni changamoto kubwa.

Tunaamini uchawi tu, hadithi za kutungwa ambazo hazina tija yeyote. Mwishoni mtu akishindwa kabisa kusaidika atatengwa kwa visingizio vya laana na mikosi.
We kuna kitu ushawai kukubali
 
Ni mtihani sana, Kuna mama mwanae anasoma na mwanangu darasa la tano sasa ule urafiki wao ukapelekea sisi wazazi kufahamiana.
Ikatokea watoto wetu wamegombana wenyewe huko shule tukawapatanisha lakini nikaona kama yule mzazi hakua karibu nami kama mwanzo (dhana ni mbaya)
Wiki iliyopita yule mama akanipigia mama flani nisamehe sijakutafuta muda mrefu nimepata mtihani toka tar 20/12 mtoto kaamka ghafla hasikii ameshazunguka hospital kubwa hapa dar lkn ndio imekua hvyo mtoto amepoteza usikivu
Mama flani, nisamehe. KWA NINI ANATAKA MSAMAHA WAKO?. Pengine anakuhisi kuwa umeishafanya yako kwa mtoto wake
 
Tanzania matatizo ya afya ya akili yanaonekana ni uchawi.

Hakuna elimu ya afya ya akili.

Hakuna wataalam, na tiba toshelevu ya afya ya akili.

Kama unabisha muulize mtu yeyote magonjwa matatu tu ya akili uone...

Hii ni changamoto kubwa.

Tunaamini uchawi tu, hadithi za kutungwa ambazo hazina tija yeyote. Mwishoni mtu akishindwa kabisa kusaidika atatengwa kwa visingizio vya laana na mikosi.
Yule mwamba sio afya ya akili wala nini ule ni mzigo kabisa. Afya gani ya akili tiba ni bangili ukiivua tu unatoroka!. Mtu anatembea umbali wa labda tuseme Tegeta hadi Mkuranga Mji kwa dakika chache tu. Tena yuko peku hana viatu na hatoki jasho hupo fit anawashangaa tu mliomfuata na kumrudisha shule.

Hii nimeishuhudia mwenyewe kipindi niko shule sasa huo ni ugonjwa gani wa akili?. Na jamaa alikuwa mtu mpole sana bwenini na ni kipanga kweli kweli.
 
Mama flani, nisamehe. KWA NINI ANATAKA MSAMAHA WAKO?. Pengine anakuhisi kuwa umeishafanya yako kwa mtoto wake
Subhanallah
Sijui kwa kweli ,mimi nimechukulia kwa ukimya wake na mwanza tulipanga baada ya watoto kumaliza Ile mitihan ya taiga ya dar la nne mwanae angekuja kwangu kama anavokuja huwa
 
Subhanallah
Sijui kwa kweli ,mimi nimechukulia kwa ukimya wake na mwanza tulipanga baada ya watoto kumaliza Ile mitihan ya taiga ya dar la nne mwanae angekuja kwangu kama anavokuja huwa
Ukuwaza ilo
 
Back
Top Bottom