Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kama huyu?Ukimtongoza tu, lazima aombe ushauri kwa marafiki zake; hawa huwa ni wasumbufu sana, iwe ni kwa malengo ya muda mfupi au mrefu.
Utakachomwambia tu, anawashirikisha wenzake; na kama hao marafiki zake hawakukubali, jiandae kupigwa chini.
Wengi wao huwa wanashindwa kujisimamia katika maamuzi, wakiamini wao ni wazuri, na wanapowashirikisha marafiki zao, ni kutaka kuwaaminisha kuwa wanatongozwa kwa sababu ni wazuri.
Mwisho wao, wengi huishia kuishi bila kuolewa au ndoa zao kuvunjika.
Hata humu ndani, wapo wengi sana.
Mkuu umesoma mada lakini?Mfano ccm hatuwezi kumpiga chini January,mwiguru na maharage
Eti Mkuu.Mfano ccm hatuwezi kumpiga chini January,mwiguru na maharage
Muda mwingi anakuwa na marafiki zakeutajuaje kwamba anashirikisha wenzake
hivyo vikao ni vya siri
Sukuma na mbupu zote zioge
Wanajijua wenyewe, ukiona wanaitana mashosti sijui nini, jiongeze 😀Hata humu wapo, wataje
Tunatumia msemo wa kiingereza "Show me your friends I tell you your behavior"utajuaje kwamba anashirikisha wenzake
hivyo vikao ni vya siri
Haijawahi kutokeaHata wewe kuna manzi ulimtaka nilikukandia kinyama 🤣🤣🤣
Naona Lamomy anacheka sijui anamaanisha niniWanajijua wenyewe, ukiona wanaitana mashosti sijui nini, jiongeze 😀
Kataa hivo hivo ila ukweli unaujua 🤣🤣🤣Haijawahi kutokea
Mashosti ndio masijala mna mafaili yetu😂🤣🤣🤣 Na tunawaambia usimkubali shosti kwanza nyuzi zake zote za kulia kulia hana pesa achana naye
Ebu eleza wasifu wako vizuri 😀🤣🤣🤣 Na tunawaambia usimkubali shosti kwanza nyuzi zake zote za kulia kulia hana pesa achana naye