Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Najua shosti yangu akipita atacheka sana!!! Huu mwaka mpk tusemeZima taa tufanye yetu 😀
Wala si hivo!! 🤣Shemeji uliemkataa?😂
Nyie ndio mnawapotezea waume wa kuwaoa 😀 😀Shemeji hayaishi kila uzi unamponda shosti yangu, leo umeamua kuniponda wazi wazi shosti yake ( Mpika sumu) 🤣🤣🤣🤣
Hutuachii nafasi mpk tuseme
Ni kweli, baadaye wanabaki na kuwa singoChukua Pepsi baridi.
Na hao wanazoeana na watu wa hovyo hovyo kirahisi sana. Wanatapeliwa wanabaki kunung'unika.
Umemkosesha mume 😀 😀 , sasa hivi anatanga tanga tu huko🤣🤣🤣 Najua shosti yangu akipita atacheka sana!!! Huu mwaka mpk tuseme
Wanasahau kujua maisha ni ya kwake na si ya rafiki zakeHao maamuzi yao huwa yanafanywa kwa niaba yao na "kamati" yaani marafiki zake. Kama marafiki wakisema umtu poa anakukubali. Ila huwa wanajuta baadaye kwa kupoteza watu wazuri kwasababu tu ya ushauri wa marafiki.
🤣🤣🤣 Nani kakwambia? Sisi tunawaweka sehemu yenye utulivuNyie ndio mnawapotezea waume wa kuwaoa 😀 😀
hawa wa hivi ni wazuri kwa kufirimba
Hawezi kukosa mume mtoto mkali yule 😂😂Umemkosesha mume 😀 😀 , sasa hivi anatanga tanga tu huko
Kabisa yupo mmoja alikuwa ananifanyia visa baadaye nikaja kugundua kila movement yangu na yeye anashirikisha shoga zake, naona wakawa wananipa maksi mbaya, baadaye nikaamua ku-moveon. Baadaye akaanza kuwasiliana na mimi kutaka kurudi, nikagoma mpaka leo maana aliniona sifai lichi ya wema mkubwa niliomtendea.Wanasahau kujua maisha ni ya kwake na si ya rafiki zake
🤣🤣🤣🤣 Natamani niwatag watu ila basi watapita wataona wenyewe.Ukikuta wanaitana Udugu!
Tena siku hizi wanaitana Familia
Utulivu upi ? 😀🤣🤣🤣 Nani kakwambia? Sisi tunawaweka sehemu yenye utulivu
Hawafai kabisa, utapotezewa muda na hela zakoUkikuta wanaitana Udugu!
Tena siku hizi wanaitana Familia
Mahari yake ni kiasi gani kwanza, nataka nipachike mapacha sita kabisa 😀Hawezi kukosa mume mtoto mkali yule 😂😂
Itabidi tukae chini tujadili kwa kina ugomvi wetu uishe shem, uchukue mkeo 🤣🤣
Wa maokoto 🤣Utulivu upi ? 😀
Subiri kamati ya mashosti tujadili mahari kwanza afu tutakwambia 🤣🤣🤣Mahari yake ni kiasi gani kwanza, nataka nipachike mapacha sita kabisa 😀
Nadhani wakati mwingine kushirikisha marafiki, ni aina fulani ya utoto, anakuwa bado hajakomaa na kujitambua.Kabisa yupo mmoja alikuwa ananifanyia visa baadaye nikaja kugundua kila movement yangu na yeye anashirikisha shoga zake, naona wakawa wananipa maksi mbaya, baadaye nikaamua ku-moveon. Baadaye akaanza kuwasiliana na mimi kutaka kurudi, nikagoma mpaka leo maana aliniona sifai lichi ya wema mkubwa niliomtendea.