Kijana, kaa mbali na hawa wanawake

Kijana, kaa mbali na hawa wanawake

Kabisa yupo mmoja alikuwa ananifanyia visa baadaye nikaja kugundua kila movement yangu na yeye anashirikisha shoga zake, naona wakawa wananipa maksi mbaya, baadaye nikaamua ku-moveon. Baadaye akaanza kuwasiliana na mimi kutaka kurudi, nikagoma mpaka leo maana aliniona sifai lichi ya wema mkubwa niliomtendea.
Nadhani wakati mwingine kushirikisha marafiki, ni aina fulani ya utoto, anakuwa bado hajakomaa na kujitambua.
 
Infact wanawake upenda attention na competition, hata kwa wao kwa wao.

Ukikubaliwa na shoga zake,
1. Automatic anajizolea attention kwa wenzake,

2. Automatically atapata Cha kucompete na kulingishia wenzie [emoji4]
Kuna mashoga zake wengine watamuonea wivu, na kumponda huyo mwanaume ili wote wakose
 
Inakera na kumfanya mwanaume ajute kumtóngoza mdada husika.Kwanini ushirikishe watu mtongozo wangu?
Mwanamke wa hivyo ni jinga kabisa,linakua na akili ya kushikiwa.
 
Kwa nini nyie mashosti hamtaki mwenzenu apate mume?
Basi tu hatupendi kamati ya roho mbaya 😂

Saa nyingine anaweza akawa na sifa zote akasahau kushave ndevu bas visa vinaanzia hapo hapo kwann mchafu 😂😂😂
 
Inakera na kumfanya mwanaume ajute kumtóngoza mdada husika.Kwanini ushirikishe watu mtongozo wangu?
Mwanamke wa hivyo ni jinga kabisa,linakua na akili ya kushikiwa.
Huwa inakera sana
 
Back
Top Bottom