Bro nenda na wakat bas. Remote n ushambaπππ
View attachment 2975527
Naona car wash yako Iko njemaView attachment 2975541
Kama remote hizi sawa
mshukuru Mungu kwa hatua hiyo,kuna wengine hawajafikia hata hapo ulipofikia.πππ
View attachment 2975527
duuuh tv king'amuzi na deki nalo n jambo la kujisifia??πππ
View attachment 2975527
Sisi wa Katavi tunaomba mtufafanulie. Hivi ni vitu gani?? Na vina kazi gani?View attachment 2975541
Kama remote hizi sawa
Dah una vifaa vya zamani sana, remote kubwa hivo!πππ
View attachment 2975527
Uzi ufungweView attachment 2975541
Kama remote hizi sawa
Dogo una mikwara sana! Mimi nikafikiri unamliki rimoti ya ndinga kali!! Kumbe unamiliki rimoti ya sub woofer ya Aborder na Azam tv!! ππππ
View attachment 2975527
Duh remote yenyewe ya aborderπ€£π€£πππ
View attachment 2975527
Ushamba ni nini?Ndio ushamba wenyewe
Itakuwa kifupi cha Arusha Border kuingia kenyaHiyo ya abodar ni ya ndo kitu gani?
Cc Shunie[emoji1][emoji1][emoji1]
View attachment 2975527
Remote siku hizi ni nyie tu. Pazia, LED za kwenye gypsum, LED za TV cabinet, ya gari, ya geti etcTatizo hiyo remote ya Abordor ...
Tafuta pesa kijana ununue brand za kueleweka.
Si bora huyo kuliko wewe unayekaa kwa shemeji yako??Kwamba remote tatu za Aylson 32" ya 220K king'amuzi cha Azam cha 99K ambacho kwa mwezi unalipa 17K kama mama ntilie na remote ya Seapiano ya 130K kwa vijana wa siku hizi ndiyo maisha mmeshapitana?
Mna safari ndefu mno,mnooo nawaambia.