Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Hapa naona kabisa nimetukanwa kidiplomasia πππ ni Mungu tuLamborghini wali ulizwa Kwanini Hawa fanyi matangazo,
Waka jibu wateja wao hawana muda wa kuangalia tv.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa naona kabisa nimetukanwa kidiplomasia πππ ni Mungu tuLamborghini wali ulizwa Kwanini Hawa fanyi matangazo,
Waka jibu wateja wao hawana muda wa kuangalia tv.
Hii ni huzuniπππ
View attachment 2975527
They say, "We don't do commercials because our target audience isn't sitting around watching TV."Lamborghini wali ulizwa Kwanini Hawa fanyi matangazo,
Waka jibu wateja wao hawana muda wa kuangalia tv.
TV ya shilingi laki mbili.duuuh tv king'amuzi na deki nalo n jambo la kujisifia??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo hiyo remote ya Abordor ...
Tafuta pesa kijana ununue brand za kueleweka.
Wazee wa kuzoomTatizo hiyo remote ya Abordor ...
Tafuta pesa kijana ununue brand za kueleweka.
π€πΎπ€πΎπ€πΎ Mkuu nipo kwa shemeji yangu hapa muda huu ndiyo nataka nitandike kitanda nilale.Si bora huyo kuliko wewe unayekaa kwa shemeji yako??
swadapta kabisa. Tukae huku tu.View attachment 2975541
Kama remote hizi sawa
Wameanza kumvutisha vitu vya haramu kijana wa yesu πππMimi huo muda wakukaa kuangalia tv sina ila pesa ndio sina kabisa.
Ko nime tumia silaha za kivita, kwenye kikao Cha familia π π π€Hapa naona kabisa nimetukanwa kidiplomasia πππ ni Mungu tu
Watu wa mikoani shida kwelikweli wakifika Dar!! yaani hapo ulitaka kusema nini?? Wapemba wamejazana ubalozi wa Canada visa zinatoka wewe unajisifia remote 3??πππ
View attachment 2975527
Ndiyo hivyo.duuuh tv king'amuzi na deki nalo n jambo la kujisifia??
Remote mkuu ndio uvimbe ππππ bagoshaa ππππ
View attachment 2975527