Kijana kama hujaoa kisa unatafuta mwanamke wa hivi. Basi hutooa kamwe na utakufa masikini

Kijana kama hujaoa kisa unatafuta mwanamke wa hivi. Basi hutooa kamwe na utakufa masikini

Shida ndio inapoanzia hapo sasa😒
Home tuna mabanda ya mbuzi mbwa kuku, uje kwa siku unapata buku tano saafi na msosi na nauli yani hiyo elfu tano ni take home 😊😊😊 na unaungwa bundle la buku mbili
 
Home tuna mabanda ya mbuzi mbwa kuku, uje kwa siku unapata buku tano saafi na msosi na nauli yani hiyo elfu tano ni take home 😊😊😊 na unaungwa bundle la buku mbili
Hela ya kusuka na kucha je😒😒za emergency je??
Me staki kuteseka sasa jaman
 
Nilichokuja kugundua kuwa mtoa mada ni wale wanaune wanaoishi kwa shemeji kazi yake kubwa aliyopewa na Dada yake ni kumbembeleza junia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mleta uzi kufa Masikini kunahusiana vipi na swala la KUOA.....???

Na hilo la kupewa hela na kuachiwa ATM hizo ni character za u-mariooo (Wavulana wanaolelewa)...,,,huwezi kutushauri Wanaume hizo tabia za Kike kike....za kupewapewa....ndio ziwe vigezo vya kupata Mke...

Chakalika,, acha kuumba viumbe ambavyo haviwezi ku-exist in a real World..

Be a man.
 
Back
Top Bottom