Kijana kama hujaoa kisa unatafuta mwanamke wa hivi. Basi hutooa kamwe na utakufa masikini

Shida ndio inapoanzia hapo sasaπŸ˜’
Home tuna mabanda ya mbuzi mbwa kuku, uje kwa siku unapata buku tano saafi na msosi na nauli yani hiyo elfu tano ni take home 😊😊😊 na unaungwa bundle la buku mbili
 
Home tuna mabanda ya mbuzi mbwa kuku, uje kwa siku unapata buku tano saafi na msosi na nauli yani hiyo elfu tano ni take home 😊😊😊 na unaungwa bundle la buku mbili
Hela ya kusuka na kucha jeπŸ˜’πŸ˜’za emergency je??
Me staki kuteseka sasa jaman
 
Nilichokuja kugundua kuwa mtoa mada ni wale wanaune wanaoishi kwa shemeji kazi yake kubwa aliyopewa na Dada yake ni kumbembeleza junia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mleta uzi kufa Masikini kunahusiana vipi na swala la KUOA.....???

Na hilo la kupewa hela na kuachiwa ATM hizo ni character za u-mariooo (Wavulana wanaolelewa)...,,,huwezi kutushauri Wanaume hizo tabia za Kike kike....za kupewapewa....ndio ziwe vigezo vya kupata Mke...

Chakalika,, acha kuumba viumbe ambavyo haviwezi ku-exist in a real World..

Be a man.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…