Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Nadhani mods washafanya yaoLeejay49, Mpaji Mungu Uzi uko wapi😄🤒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani mods washafanya yaoLeejay49, Mpaji Mungu Uzi uko wapi😄🤒
Nime shangaa naambiwa, you do not have enough authority to reply 😄Mod washafanya yao
😄😄😄 Tunaendelea na uliopoNime shangaa naambiwa, you do not have enough authority to reply 😄
Endeleeni kulipua tu😄🤣😄😄😄 Tunaendelea na uliopo
Fresh mkuu,,mambo vipi?Kaka niaje?
Gud Kaka, habari za wapi??Fresh mkuu,,mambo vipi?
Kaza kishundu usijitupe tu kwa bahari apa kujitoa chamboAcha tu mkuu..
Dogo ulale 😃Kaza kishundu usijitupe tu kwa bahari apa kujitoa chambo
Nilikua na cheki game apa ndio nautafutaDogo ulale 😃
Mi jobless pro max tu, and for your info- I got one mwenye sifa hizo🤒Acha uboya wewe..huwezi pata mwanamke perfect shape her mindset muende speed sawa..anyways umefikia wapi kutimiza ndoto zako?? Huenda una ndoto za abunuasi
Ko niliye Nate ni ai robot 😄Ukitaka mwenye sifa unazotaka tengeneza limdoli lako whether la plastic au udongo
Nakojoa pazuriHamna hoja
Mkuu Ndoa sio vita.Mwanamke, mwanamke, mwanamke, mwanamke, mwanamke.
Kuna mamilioni ya wanaume ndoto zao zilikufa kwa sababu ya wanawake, na kuna mamilioni ya wanaume ndoto zao zilisonga na kufanikiwa kwa sababu ya wanawake. Mpaka leo sijaoa, sijaoa kwa sababu sijaona sababu ya kufanya hivyo kwanza.
Naona ndoa nyingi zikianguka, naona ndoa nyingi zikiingia kwenye umasikini, naona mambo makubwa na ya kutisha sana kwenye ndo, mambo ambayo mtu yanakupa hofu ya kutaka kufanya maamuzi ya kuingia kwenye ndoa.
Nawaona watu wengi waliokuwa na ndoto kubwa wakizipoteza baada ya kuoa, nawaona watu wakiharibikiwa maisha yao baada ya kuingia kwenye ndoa. Nawaona wanandoa wanaofanikiwa ni wachache kuliko wanaoanguka na kupoteza misingi ya ndoto zao.
Mimi sio Muislamu, mimi si Mkristo, nitakapooa, no turning back. Nikimpa mwanamke ambaye hana ndoto kubwa, nini kitatokea endapo nitamshikirisha na kumwambia ndoto zangu? Ataniona mjinga fulani ninayekaribia kuchanganyikiwa ama ataniona mtu mwenye akili.
Siku Nikipata mpenzi, nitajiuliza, huyu mwanamke ataweza kuishi na mwanaume mwenye bilioni kumi kwenye akaunti? Je, anaweza kuzifanya zile bilioni kumi ziwe ishirini ama hamsini? Huwa ninawaza mambo mengi sana ambayo mwisho wa siku nasikia sauti ikiniambia “Subiri”.
Siku ukiwa huna je atakuwa na wewe au ndo itakuwa ndo Safari ya kwenda?!,
Jifunze kuchagua kitu sahihi kwako, mtu ambaye mna weza kwenda speed moja.
View attachment 2880640
Nuache woga ehh, akati watu Wana kufa na tai shingoni😄😄Mkuu Ndoa sio vita.
Acha woga
Sasa mbona huishi kulalamika??Mi jobless pro max tu, and for your info- I got one mwenye sifa hizo🤒