bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Nyota kama haziendani kuachana ni lazima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waza direct vile nilivyofikisha ujumbe,nasubiri mwaliko nifike kuserebuka.Hii ni appreciation or sarcasm 🙄🤒
I got no chick 😀🤒, just focusing for nowWe kula papuch tu utakuja kuoa aheraaaa..kule tumeahidiwa mabikira 72..
2027 🤒Waza direct vile nilivyofikisha ujumbe,nasubiri mwaliko nifike kuserebuka.
Ni kweli nyota ni muhimu, ila ugu na ustaarabu ni muhimu.Nyota kama haziendani kuachana ni lazima
Vipi we Ume oa??😀We kula papuch tu utakuja kuoa aheraaaa..kule tumeahidiwa mabikira 72..
LAbda kama hao ni ma KAPU. hizo vitambi sidhan hata kama wanakumbuka kuna vitu vya ziada vipo!Punguza kiherehere, hao ni new couple 😀
Hii ni kweli?Nyota kama haziendani kuachana ni lazima
Unanyetuka tu si ndio?I got no chick 😀🤒, just focusing for now
Ni kweli mkuu, sema wengi hatu ijui.Hii ni kweli?
Mpatie kijana elimu kabla hajakutana na mazingaombwe ya mapenzi.
Ahahahahahah..we mzee mi sio muoga wa maisha. Nimezaa at 21..nimeoa at 24 nina watoto wa 4 now at 34 na wa sekondari yuko hapo 😂😂.Vipi we Ume oa??😀
Mimi sio dronedrake 😀Unanyetuka tu si ndio?
He should be cautious, asije yatimba😀Kwa hiyo unataka kumwambia nini kaka mzuri? 🙂
Wa KariakooMuhindi wa kuchoma au?
Tupe ABC basi, tunafanyaje sasa kwny hizo nyota kwa habari ya mahusiano?Nyota,majina,vina maana sana kwenye kuchagua mtu sahihi ndo utajua waarabu na wahindi wanaotumia elimu hii kuoana sio wajinga.
Na wanafanikiwa kwenye maisha Kwa kupata mtu sahihi.
Wengine tunabet TU kwenye ndoa,matokeo yake unaoa mwanaume mwenzio ktk umbo la kike,mambo hayaendi sababu ya amani hakuna.
Au unabeba TU jitu lina laana na mikosi kisa Tako na kuzungusha kiuno linakuja kukuletea nuksi maishani
Am calling you, ni verify 😀🤣Ahahahahahah..we mzee mi sio muoga wa maisha. Nimezaa at 21..nimeoa at 24 nina watoto wa 4 now at 34 na wa sekondari yuko hapo 😂😂.
Ukitaka semina ya ndoa, nipe taarifa