stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Yaan jamaa kaweka mpaka bakuri eti wamjazie Pesa mjini michongo michongoNasikia ma don huwa Wana mpa michango mikubwa.
👉Jomba ni janja janja😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan jamaa kaweka mpaka bakuri eti wamjazie Pesa mjini michongo michongoNasikia ma don huwa Wana mpa michango mikubwa.
👉Jomba ni janja janja😀
Au sio, Alio kuwa nao kabla nao wali kuwa watu makini😀🤒Ni mtu makini, ndio maana akawa na mimi.
Angekuwa sio angekuwa na wengine 🤭
Yes lakini sasa complications nazo zikiwa nyingi majanga samesameHiyo kurahisisha ndo majanga yenyewe, mna kuwa Kama ombaomba[emoji855]
Hapo kabla aliteleza, sasa hivi katuliza akili kama mimi tu 😅Au sio, Alio kuwa nao kabla nao wali kuwa watu makini😀🤒
Ahahahahaha...wadanganye watoto sio sisiAm preserving myself buddha
Mleta mada haya mambo una experience nayo au unatuchangamsha tu?
Nyege zikiisha watabwagana,maisha ya ndoa hayataki mitandao.Jamaa anapiga mradi mzuri sana yaan anawapangua na huyo tunampa siku kadhaa tu atavurugana nae kashakunja viwanja kadhaa na maokoto km yote kweli mjini mishe mishe TU daah sijui nakwama wapi huu wa Manara ni mradi kabisa Ila IPO siku watu watachoka
🙄 Duh chief Leo umechafukwaMwanamke, mwanamke, mwanamke, mwanamke, mwanamke.
Kuna mamilioni ya wanaume ndoto zao zilikufa kwa sababu ya wanawake, na kuna mamilioni ya wanaume ndoto zao zilisonga na kufanikiwa kwa sababu ya wanawake. Mpaka leo sijaoa, sijaoa kwa sababu sijaona sababu ya kufanya hivyo kwanza.
Naona ndoa nyingi zikianguka, naona ndoa nyingi zikiingia kwenye umasikini, naona mambo makubwa na ya kutisha sana kwenye ndo, mambo ambayo mtu yanakupa hofu ya kutaka kufanya maamuzi ya kuingia kwenye ndoa.
Nawaona watu wengi waliokuwa na ndoto kubwa wakizipoteza baada ya kuoa, nawaona watu wakiharibikiwa maisha yao baada ya kuingia kwenye ndoa. Nawaona wanandoa wanaofanikiwa ni wachache kuliko wanaoanguka na kupoteza misingi ya ndoto zao.
Mimi sio Muislamu, mimi si Mkristo, nitakapooa, no turning back. Nikimpa mwanamke ambaye hana ndoto kubwa, nini kitatokea endapo nitamshikirisha na kumwambia ndoto zangu? Ataniona mjinga fulani ninayekaribia kuchanganyikiwa ama ataniona mtu mwenye akili.
Siku Nikipata mpenzi, nitajiuliza, huyu mwanamke ataweza kuishi na mwanaume mwenye bilioni kumi kwenye akaunti? Je, anaweza kuzifanya zile bilioni kumi ziwe ishirini ama hamsini? Huwa ninawaza mambo mengi sana ambayo mwisho wa siku nasikia sauti ikiniambia “Subiri”.
Siku ukiwa huna je atakuwa na wewe au ndo itakuwa ndo Safari ya kwenda?!,
Jifunze kuchagua kitu sahihi kwako, mtu ambaye mna weza kwenda speed moja.
View attachment 2880640
Kisa 😀🤒🙄 Duh chief Leo umechafukwa
🥲😭😭🤣Mwanamke, mwanamke, mwanamke, mwanamke, mwanamke.
Kuna mamilioni ya wanaume ndoto zao zilikufa kwa sababu ya wanawake, na kuna mamilioni ya wanaume ndoto zao zilisonga na kufanikiwa kwa sababu ya wanawake. Mpaka leo sijaoa, sijaoa kwa sababu sijaona sababu ya kufanya hivyo kwanza.
Naona ndoa nyingi zikianguka, naona ndoa nyingi zikiingia kwenye umasikini, naona mambo makubwa na ya kutisha sana kwenye ndo, mambo ambayo mtu yanakupa hofu ya kutaka kufanya maamuzi ya kuingia kwenye ndoa.
Nawaona watu wengi waliokuwa na ndoto kubwa wakizipoteza baada ya kuoa, nawaona watu wakiharibikiwa maisha yao baada ya kuingia kwenye ndoa. Nawaona wanandoa wanaofanikiwa ni wachache kuliko wanaoanguka na kupoteza misingi ya ndoto zao.
Mimi sio Muislamu, mimi si Mkristo, nitakapooa, no turning back. Nikimpa mwanamke ambaye hana ndoto kubwa, nini kitatokea endapo nitamshikirisha na kumwambia ndoto zangu? Ataniona mjinga fulani ninayekaribia kuchanganyikiwa ama ataniona mtu mwenye akili.
Siku Nikipata mpenzi, nitajiuliza, huyu mwanamke ataweza kuishi na mwanaume mwenye bilioni kumi kwenye akaunti? Je, anaweza kuzifanya zile bilioni kumi ziwe ishirini ama hamsini? Huwa ninawaza mambo mengi sana ambayo mwisho wa siku nasikia sauti ikiniambia “Subiri”.
Siku ukiwa huna je atakuwa na wewe au ndo itakuwa ndo Safari ya kwenda?!,
Jifunze kuchagua kitu sahihi kwako, mtu ambaye mna weza kwenda speed moja.
View attachment 2880640
Meaning??🥲😭😭🤣
Hivi mki bwagana, ita kuwaje😀🤣Hapo kabla aliteleza, sasa hivi katuliza akili kama mimi tu 😅
Unawaza kwer kwer akili imefunguka unachokiwaza ndicho nawaza zaidi wamekaa wala Bata 🤣Kisa 😀🤒
Kaka I mean it 😀🤒Ahahahahaha...wadanganye watoto sio sisi
Acha kuongelea story za hao viumbe🥲Meaning??
I can bet my life on it, sisi ni wa kuzikana. Amini nakwambia!Hivi mki bwagana, ita kuwaje😀🤣
Nimekupata bwana intelligent businessman, kwahiyo unaniambia nisimuoe shemeji yako Lovie Lady kweli?🤔I mean no malice to nobody