Powell Gonzalez
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 843
- 1,630
Nilijua wewe tenaYour absolutely right bro😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilijua wewe tenaYour absolutely right bro😀
Nifah unamdogo wako😆I can bet my life on it, sisi ni wa kuzikana. Amini nakwambia!
Be carefully jomba, wakufunzi wenyewe Wana ingizwa Chaka na wanafunzi🤣We learned to read people like book
Utaacha masturbation?ms macho
Kwer kabisa clusemacho nimeamini hili kitu mwisho mbayaNyege zikiisha watabwagana,maisha ya ndoa hayataki mitandao.
Ni true ukioa ukiwa unajitafuta na financial freedom haujaipata hapa namaanisha....Naona unataka kuwa bussy na utajiri ila bado una wasiwasi wa ndoa.. Vizuri kupambania career yako .
ah kwanza i will be married to an american girl!Be carefully jomba, wakufunzi wenyewe Wana ingizwa Chaka na wanafunzi🤣
Usi tuharibie mwenyekiti wetu dronedrake 😀🤣Utaacha masturbation?
tunakuwa marafiki kwanza sasaUtaacha masturbation?
Uzi uishie hapa, mi nime shauri watakao oa😀🤣.Ni true ukioa ukiwa unajitafuta na financial freedom haujaipata hapa namaanisha....
DEPENDENCY RATIO IS GREATER THAN SAVINGS HUTOBOI....
Mdogo etu a chess dream mambo ya Ndoa yawe baadae
Mwenyekiti ana tamaa,ngoja nikague vizuri kama ni moja ya watu wasumbufu kwa whatsapp yake.🤣Usi tuharibie mwenyekiti wetu dronedrake 😀🤣
Ninge kutonya kitu, sema acha wafu mzikane😀🤣🤣🤣Mwenyekiti ana tamaa,ngoja nikague vizuri kama ni moja ya watu wasumbufu kwa whatsapp yake.🤣
Kuna binti humu pia ana macho labda nikufanyie mpango hapo🤣,tunakuwa marafiki kwanza sasa
Good luck broah kwanza i will be married to an american girl!
Mwanamke, mwanamke, mwanamke, mwanamke, mwanamke.
Kuna mamilioni ya wanaume ndoto zao zilikufa kwa sababu ya wanawake, na kuna mamilioni ya wanaume ndoto zao zilisonga na kufanikiwa kwa sababu ya wanawake. Mpaka leo sijaoa, sijaoa kwa sababu sijaona sababu ya kufanya hivyo kwanza.
Naona ndoa nyingi zikianguka, naona ndoa nyingi zikiingia kwenye umasikini, naona mambo makubwa na ya kutisha sana kwenye ndo, mambo ambayo mtu yanakupa hofu ya kutaka kufanya maamuzi ya kuingia kwenye ndoa.
Nawaona watu wengi waliokuwa na ndoto kubwa wakizipoteza baada ya kuoa, nawaona watu wakiharibikiwa maisha yao baada ya kuingia kwenye ndoa. Nawaona wanandoa wanaofanikiwa ni wachache kuliko wanaoanguka na kupoteza misingi ya ndoto zao.
Mimi sio Muislamu, mimi si Mkristo, nitakapooa, no turning back. Nikimpa mwanamke ambaye hana ndoto kubwa, nini kitatokea endapo nitamshikirisha na kumwambia ndoto zangu? Ataniona mjinga fulani ninayekaribia kuchanganyikiwa ama ataniona mtu mwenye akili.
Siku Nikipata mpenzi, nitajiuliza, huyu mwanamke ataweza kuishi na mwanaume mwenye bilioni kumi kwenye akaunti? Je, anaweza kuzifanya zile bilioni kumi ziwe ishirini ama hamsini? Huwa ninawaza mambo mengi sana ambayo mwisho wa siku nasikia sauti ikiniambia “Subiri”.
Siku ukiwa huna je atakuwa na wewe au ndo itakuwa ndo Safari ya kwenda?!,
Jifunze kuchagua kitu sahihi kwako, mtu ambaye mna weza kwenda speed moja.
View attachment 2880640
AiseeeehNinge kutonya kitu, sema acha wafu mzikane😀🤣🤣🤣
Basi achana na mambo ya utajiri...Pambania familia .A career is more worth than nothing, though familia ni muhimu.
👉Na sio muhimu familia😀
namtaka yule wa KigamboniKuna binti humu pia ana macho labda
Weeeeeeeeeee...tulia hivyo hivyo kama unavyopigaga selfie..Kaka I mean it 😀🤒
Lucky Dube (rip) alishaimba usijichanganye kabisa maana wanaoowana huko ndani ni kwa moto.Uko sahihi Kaka, tena hiki kizazi Cha I phone na Samsung 😂🤣