Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #141
Shida una jeuri🤣😀, ninge kuambia kitu🤣😀😀Kijana,acha kufuatilia maisha ya watu
Mbona mimi naishi sehemu nyingi na hujawahi kuuliza/kushangaa.🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida una jeuri🤣😀, ninge kuambia kitu🤣😀😀Kijana,acha kufuatilia maisha ya watu
Mbona mimi naishi sehemu nyingi na hujawahi kuuliza/kushangaa.🤣
Jua lishazama eeh??? Sifi leo lakini
Asante Kaka, Jamaa kaji kuta much know 🤣😀.Mkuu,
Do not be too General
Mm nimeoa muda mke ana kazi pia Mimi na kazi..
Mimi na mke wangu ni marafiki Huwa tunaweka pesa zoteeee mezani ndipo yeye ana Anza kuzitawanya sector mbali mbali
Of course Mimi na dress very well na nguo zoteeee amenunua yeye + viatu classic jamaan hawa wanawake wanapishana banaa
Mimi sikuoa Tako Wala sura nilio akili na mtu alie nipenda Kwa dhati
Hii statement yako hapa chini futa 👇👇
- Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo, hakika usioe, Hakuna mwanamke anaendeleza hela ya mwanaume, na wala hatuwaambii ziko kiasi gani, anahudumiwa vizuri, ila hategemewi kwa chochote cha maendeleo
Endelea kujipa motivation🤣😀Jua lishazama eeh??? Sifi leo lakini
Na hivi Wana innocent faces, drama+ tears🤣😀🤒Yaani sasa dunia sijui imekuwaje yule unayemuona ametulia machoni pako kumbe nyuma ya pazia ni zaidi ya Mwajuma wa Uwanja wa fisi na yule unayemuona ana wenge jingi kumbe huyo ni afadhali zaidi kuliko anayejifanya katulia. 😂😂😂
Sawa,niambie hiko,nisipoambiwa nitafungua thread ya kuacha wosia JF.Shida una jeuri🤣😀, ninge kuambia kitu🤣😀😀
Dah hatari mzeeJua lishazama eeh??? Sifi leo lakini
Be carefully Kuna dhahabu na chupa ya soda😀🤣Sawa,niambie hiko,nisipoambiwa nitafungua thread ya kuacha wosia JF.
We hujioni😀🤣🤣Dah hatari mzee
Safi sana rules zetu as men ni ku_provide na ku_protect family zetu hakuna la ziada.Mkuu,
Do not be too General
Mm nimeoa muda mke ana kazi pia Mimi na kazi..
Mimi na mke wangu ni marafiki Huwa tunaweka pesa zoteeee mezani ndipo yeye ana Anza kuzitawanya sector mbali mbali
Of course Mimi na dress very well na nguo zoteeee amenunua yeye + viatu classic jamaan hawa wanawake wanapishana banaa
Mimi sikuoa Tako Wala sura nilio akili na mtu alie nipenda Kwa dhati
Hii statement yako hapa chini futa 👇👇
- Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo, hakika usioe, Hakuna mwanamke anaendeleza hela ya mwanaume, na wala hatuwaambii ziko kiasi gani, anahudumiwa vizuri, ila hategemewi kwa chochote cha maendeleo
Lakini vyote vinang'aa kwa nje.Be carefully Kuna dhahabu na chupa ya soda😀🤣
We Ume oa😀🤣🤣Kwenye 10 yupo 1 Ila wote akili zao zinafanana atakuvutia kasi mwanzo tu
Sijioni kivipi?? Vipi we hujawa infected na red eyes apo dizm🤣😃We hujioni😀🤣🤣
Ila hio moja ni upepo tu😀🤣Lakini vyote vinang'aa kwa nje.
🤣
Niko nanjilinjii 🤓Sijioni kivipi?? Vipi we hujawa infected na red eyes apo dizm🤣😃
Ahaa maana sjakuona mtaani huku mda mrefu kidogo nkajua unamwa macho☺️Niko nanjilinjii 🤓
Yaan hata wazo hilo Sina na sifikirii in short Mimi ni certified bachelor nilietunukiwa cheti kabisaWe Ume oa😀🤣🤣
Spit it out,punguza lugha ngumu kwa ndugu yako hapa😅Ila hio moja ni upepo tu😀🤣
Kaka mi mbegu hii ya mkoani 😀Ahaa maana sjakuona mtaani huku mda mrefu kidogo nkajua unamwa macho☺️
Mbona sjakuona kwenye list ya katibu mwenezi dronedrakeYaan hata wazo hilo Sina na sifikirii in short Mimi ni certified bachelor nilietunukiwa cheti kabisa