Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Nina kaka.Nifah unamdogo wako😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina kaka.Nifah unamdogo wako😆
poor uttoh2002Upumbavu na uelewa wako nimeuona hapa
"ataweza kuishi na mwanaume mwenye bilioni kumi kwenye akaunti? Je, anaweza kuzifanya zile bilioni kumi ziwe ishirini ama hamsini?"
- Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo, hakika usioe, Hakuna mwanamke anaendeleza hela ya mwanaume, na wala hatuwaambii ziko kiasi gani, anahudumiwa vizuri, ila hategemewi kwa chochote cha maendeleo.
Hahahah !namtaka yule wa Kigamboni
Ushafika😀🤣Weeeeeeeeeee...tulia hivyo hivyo kama unavyopigaga selfie..
🕒Ahahahahahah..we mzee mi sio muoga wa maisha. Nimezaa at 21..nimeoa at 24 nina watoto wa 4 now at 34 na wa sekondari yuko hapo 😂😂.
Ukitaka semina ya ndoa, nipe taarifa
Kumbe kigamboni, si alikuwa Mitaa ya airport 😀🤣.namtaka yule wa Kigamboni
Bora utajiri 🤣Basi achana na mambo ya utajiri...Pambania familia .
Ume elewa kwanza??, Au ndo kipaji Cha kutukana Ume rithi kwa wazazi wako??Upumbavu na uelewa wako nimeuona hapa
"ataweza kuishi na mwanaume mwenye bilioni kumi kwenye akaunti? Je, anaweza kuzifanya zile bilioni kumi ziwe ishirini ama hamsini?"
- Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo, hakika usioe, Hakuna mwanamke anaendeleza hela ya mwanaume, na wala hatuwaambii ziko kiasi gani, anahudumiwa vizuri, ila hategemewi kwa chochote cha maendeleo.
Lucky Dube (rip) alishaimba usijichanganye kabisa maana wanaoowana huko ndani ni kwa moto.
View: https://youtu.be/IelSOwIPPys?si=AdC4gZ4fqXjz9ZrT
hapana siri yangu kwa kweli, we baki Ontario huko fimbo ya mbali kabisaHahahah !
Nifahamishe/nitajie na mtaa,House no. Kabisa
Jamaa kajua kukurupuka🤣😀poor uttoh2002
Kijana,acha kufuatilia maisha ya watuKumbe kigamboni, si alikuwa Mitaa ya airport 😀🤣.
👉Au kila mtu na mtaa wake🤣🤒
Unajua kupiga🤣😀Nina kaka.
hahaha dunia hiiJamaa kajua kukurupuka🤣😀
Yaani sasa dunia sijui imekuwaje yule unayemuona ametulia machoni pako kumbe nyuma ya pazia ni zaidi ya Mwajuma wa Uwanja wa fisi na yule unayemuona ana wenge jingi kumbe huyo ni afadhali zaidi kuliko anayejifanya katulia. 😂😂😂Your absolutely right, acha tuendelee na game yetu🤣🤒
Mkuu,Upumbavu na uelewa wako nimeuona hapa
"ataweza kuishi na mwanaume mwenye bilioni kumi kwenye akaunti? Je, anaweza kuzifanya zile bilioni kumi ziwe ishirini ama hamsini?"
- Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo, hakika usioe, Hakuna mwanamke anaendeleza hela ya mwanaume, na wala hatuwaambii ziko kiasi gani, anahudumiwa vizuri, ila hategemewi kwa chochote cha maendeleo.
Unamaanisha nini "ontario" au kijijini?hapana siri yangu kwa kweli, we baki Ontario huko fimbo ya mbali kabisa
Ni biashara ya kimkakati msimu ukiisha utaona wanapishana njia kila mtu anaenda ya kwake, wapi Madebe na Chanuo nasikia kelele nyingi sanaNyege zikiisha watabwagana,maisha ya ndoa hayataki mitandao.
Kwenye 10 yupo 1 Ila wote akili zao zinafanana atakuvutia kasi mwanzo tuMkuu,
Do not be too General
Mm nimeoa muda mke ana kazi pia Mimi na kazi..
Mimi na mke wangu ni marafiki Huwa tunaweka pesa zoteeee mezani ndipo yeye ana Anza kuzitawanya sector mbali mbali
Of course Mimi na dress very well na nguo zoteeee amenunua yeye + viatu classic jamaan hawa wanawake wanapishana banaa
Mimi sikuoa Tako Wala sura nilio akili na mtu alie nipenda Kwa dhati
Hii statement yako hapa chini futa 👇👇
- Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo, hakika usioe, Hakuna mwanamke anaendeleza hela ya mwanaume, na wala hatuwaambii ziko kiasi gani, anahudumiwa vizuri, ila hategemewi kwa chochote cha maendeleo