Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #161
Kubali kwanza we ni empty set🤣😀Spit it out,punguza lugha ngumu kwa ndugu yako hapa😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kubali kwanza we ni empty set🤣😀Spit it out,punguza lugha ngumu kwa ndugu yako hapa😅
Kwahiyo we ni bushboy au??Kaka mi mbegu hii ya mkoani 😀
Mimi ni member mwandamizi Ila sio kataa ndoa nimesema sijaoa simaanishi nakataa kuoa au nakataa ndoa maana neno ndoa ni Pana sana zaidi ya vile watu wanavyoona na kufikiriaMbona sjakuona kwenye list ya katibu mwenezi dronedrake
You tryin' to embarrass me? sababu ya kuhitaji ukweli?😅Kubali kwanza we ni empty set🤣😀
Yap🤒Kwahiyo we ni bushboy au??
Kijana weka mrembo ndani haraka dunia haikusubiri,kufika ukweni kusalimia na trouser imetuna mbele wakwe wakiangalia na kuona aibu kitu inayomliza binti yao ni raha sana(utani kidogo)[emoji1787]
Utakapokuwa tayari usisite kutupatia mwaliko,nitafika popote pale.
Am giving an option, either admit it- or let your mind suffer in curious mode🤣😀🤒You tryin' to embarrass me? sababu ya kuhitaji ukweli?😅
Good 👍Mimi ni member mwandamizi Ila sio kataa ndoa nimesema sijaoa simaanishi nakataa kuoa au nakataa ndoa maana neno ndoa ni Pana sana zaidi ya vile watu wanavyoona na kufikiria
Don't let your 'bro' fade away while you're watching,maisha ni kusaidiana kijana.Am giving an option, either admit it- or let your mind suffer in curious mode🤣😀🤒
Leo ndo unajua presence ya neno maisha ni kusaidiana🤒.Don't let your 'bro' fade away while you're watching,maisha ni kusaidiana kijana.
Kuna ubaya?😅We jamaa sijui unawaza nn [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣Leo ndo unajua presence ya neno maisha ni kusaidiana🤒.
👉How many times nime kuaproach, bro nipe hata ulinzi🤒.
With this attitude of yours, Ami rather die with my secret 🤒🤣
Sasa kijana,ulinzi wa aina gani?
Ulinishauri nifike gym kuondoa hii pakacha hapa mbele,tena ulinikashifu kwa maneno ya ajabu na kuniambia niweke mwili safi,si ulinzi tosha?au unataka vipi?
Kwahiyo,malipo ya kuniambia ndio liwe hilo jambo unalohitaji?With this attitude of yours, Ami rather die with my secret 🤒
Ume Nena Kaka💪Ndoa ni kwa ajili ya Watoto
Nope, ila kwa style yako- I better hold my secret.Kwahiyo,malipo ya kuniambia ndio liwe hilo jambo unalohitaji?
🤣
Nope, ila kwa style yako- I better hold my secret.
👉Coz wee huaminiki🤣
Naijua hiyo🤣🤒Mwaga maneno hapa kijana,usiogope😅
Sasa Mimi kaka yako nimpeleke wapi angekua shemeji tu😆Nina kaka.