Kijana kuwa makini, mahusiano ni kama pepo au jehanamu yako

Kijana kuwa makini, mahusiano ni kama pepo au jehanamu yako

Tupe ABC basi, tunafanyaje sasa kwny hizo nyota kwa habari ya mahusiano?
Wachek walimu wa elimu ya mambo ya kiroho wanaijua hii kitu in deep.Wanajimu au mamajusi wapo deep sana kuhusu hii fani unachagua TU upande sahihi kwako wapo wa Giza na WA Nuru lakin wote utoa majibu sawa.
Ingia YouTube pia wanafundisha kuhusu majina na herufi za kuoana.
 
Kijana weka mrembo ndani haraka dunia haikusubiri,kufika ukweni kusalimia na trouser imetuna mbele wakwe wakiangalia na kuona aibu kitu inayomliza binti yao ni raha sana(utani kidogo)🤣

Utakapokuwa tayari usisite kutupatia mwaliko,nitafika popote pale.
Powa kaka, sema unipe deal kwanza.
👉Maana naoaje na jaa hii🤣🤒
 
Jamaa anapiga mradi mzuri sana yaan anawapangua na huyo tunampa siku kadhaa tu atavurugana nae kashakunja viwanja kadhaa na maokoto km yote kweli mjini mishe mishe TU daah sijui nakwama wapi huu wa Manara ni mradi kabisa Ila IPO siku watu watachoka
Nasikia ma don huwa Wana mpa michango mikubwa.
👉Jomba ni janja janja😀
 
Back
Top Bottom