Kijana mkoani Kilimanjaro auawa kwa panga kwa madai ya kutaka kushiriki tendo la ndoa na mke wa mtu

hivi wchaga nao mapenzi wameanza lini aisee.
 
Unaenda jela, mke wako anabaki akiliwa kwa uhuru.

Busara inaepusha mengi sana.
mi niliuliza swali hapo lini wachaga nao wameanza mapenzi? manake hiyo hata sio carrier yao. rip dogo.

though tukiacha utani, shetani ni mbaya sana, ni kama mvuvi wa samaki, anaweka chambo kwenye ndoana ili akikuvua akumalize kabisa usitubu ili ukateketee motoni pamoja naye. kijana alipelekwa chambo cha mwanamke bila kujua kama shetani anataka kuchukua maisha yake, na amefariki bila hata kumrudia Mungu. tujifunze kujua kuwa uzinzi ni wa shetani na wazinzi wote hawataurithi ufalme wa Mungu.
 
Kama mwanaume ndiye aliyekuwa anamtumia meseji akijifanya ndiye mwanamke, imekuwaje tena awafumanie wakitaka kufanya mapenzi? Si kwamba alikuwa akimsubiri yeye mwenyewe?
 
hahahahaha Aisee inasikitisha mbususu yenyewe usikute hakukuta hata sio bikra na utashangaa jamaa aliyeuwawa Ndio alitangulia kuichakata na hapo alikua anapasha kiporo tu sema Ndio bahati mbaya Haina mwenyewe kaisha!

Utachukuwaje mke wa mtu!!! Huo ni upumbafu haswaaaaa. Na huyo alieuwa ajiandae washkaji hawatamkalia kimya 🤣
 
Huyo dogo aliye uwawa na muuaji wote ni mafala wakutupwa. Mmoja kafa na mwingine anakwenda kuozea lupango. huku walimwengu wakiendelea kujitwalia kisababishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…