Anonymous77
JF-Expert Member
- May 29, 2022
- 589
- 1,515
- Thread starter
-
- #81
Kamq wanawaza ngono nyie vijana wa saizi mnawaza nini wakati hata Mali mnangojea za wazee wenu daily mko juu ya meza kucheza amapiano..Inavoonekana hao wazee walikua wanawaza ngono tu...Wakati wazee wenzao wa Ulaya,China,USA na kwingineko walikuwa wanavumbua mambo...wanatengeneza na kuanzisha biashara wanakuza mataifa yao....ndo maana tuko hapa..hata kujitawala hatuwezi..full kupotezana..
Hivi ni mavuzi ama ni "makata mavi"???Kwaio tukae hapa serious kabisa, tuache kazi zetu muhim za kuweka mkono kinywani, busy kabisaa tudiscuss MAVUZI?
Are you serious?
Hopeless!
Yote ni yale yale. Yanakata mavi kwani yana kisu?Hivi ni mavuzi ama ni "makata mavi"???
Tatizo haujatuma maombi rasmi ππkumbe huwa unanyoa... mbona una kibania sasa hicho kinyeo...!
Na Ile sehemu nywele zinaota za kutosha tena zikiwa zimenawiri maana Kuna mbolea ya minjingu ya kutosha pale.
We umevumbua nini Boss?! Samahani lakini[emoji848]Inavoonekana hao wazee walikua wanawaza ngono tu...Wakati wazee wenzao wa Ulaya,China,USA na kwingineko walikuwa wanavumbua mambo...wanatengeneza na kuanzisha biashara wanakuza mataifa yao....ndo maana tuko hapa..hata kujitawala hatuwezi..full kupotezana..
Swal zuriHao Wazee walisema nyuma kunanyolewa na Nini?
Kuna watu wataamini hizi pumba na kuacha msitu uwe unahifadhi mavi ππWanaume wenzangu karibu hapa tujadili ya yakale ya wazee wetu vijana wengi siku hizi hawana adabu wala hawataki kushika maneno ya wazee wao vijana wanyoa "QADHA" vijana wasiosikia la mzazi, vijana wabishi hakuna wasolijua, vijana waso na aibu wafiraji.
Vijana waso na ubunifu wacheza kamari, vijana waso na nguvu za kiume, vijana waso na heshima kwa wazee, vijana wavaao nguo za kubana zinazochora mwili mpaka makalio, vijana wavivu wanopenda kushinda vijiweni asubuhi mpaka jioni angali wazee wetu kijiwe lilikuwa ni jioni baada ya kutoka shamba, vijana wanaopanda panda juu ya meza kucheza miso misondo, vijana wavaa heleni waso sikia la muidhini.
Haya ndio matokeo ya kutokuheshimu wazee vijana wanageuka kuwa mashoga vijana wa kupiga kimoja chali vijana wanakufa na stress za maisha wakiwa na miaka 20 tu wakati wazee wetu walikuwa wanapeleka moto unaambiwa kwa fundi selemara kila siku kulikuwa hakuishi kuletwa kwa Chaga mbovu kila kukicha, wazee wetu walimiliki Wanawake 4 na watoto 38 pamoja na yote hawakufa na stress za maisha mpaka miaka 98 wanadunda na Bado wakiitwa kwenye 6x6 wanasukuma moto wanarudisha heshima ya neno mwanaume.
Kijana wewe una miaka 20 unapeleka demu kimoja unakata pumzi kijana ambae leo ukipata mtoto moja tu unamkimbia mke wako kisa kushinda kutoa huduma Kwa mtoto, wakati Mzee wako alikuwa anahudumia watoto 38 katika hao 38. Mmoja wapo ni wewe ambao leo mitaa imekubariki jina la "kijana wa hovyo" ewe kijana ni nani alikwambia uyakimbie ya wazee wako ona sasa yanayokufika leo ni huzuni.
KIJANA MWANAUME HANYOI NYWELE ZA NYUMA KWA WEMBE UTAHANITHIKA.
Hii ni kauli ya wazee wako wa kale kijana vuzi la nyuma halinyolewi na wembe utahanithika. Wazee ambao leo hutaki kusikia kuhusu wao ndio maana unateseka kama kenge alovamia kazi ya mamba.
Sawa si unyoe upake na mafutaKuna watu wataamini hizi pumba na kuacha msitu uwe unahifadhi mavi ππ
PumbaSawa si unyoe upake na mafuta
Kwani mungu mjinga mpaka akatuoteshea hayo mavumba nyuma kwani mbona aliacha kuyaotesha kwenye fimbo zetu mpk ayaweke huko nyuma anazo sababu zakePumba
Ndio ujue hizo special hupaswi kuzitoaSiwezi kaa na uchafu, kwa vyovyote vile lazima ziondoke.
Ajabu sana Ke wao hawana.
Kwenye makwapa,mavuzi mbele nk kote amekuoteshea,unayanyoa ya nini? Unakata govi la nini si uache ?Kwani mungu mjinga mpaka akatuoteshea hayo mavumba nyuma kwani mbona aliacha kuyaotesha kwenye fimbo zetu mpk ayaweke huko nyuma anazo sababu zake