Kijana mwauame hanyoi nywele za nyuma kwa wembe utahanithika

Kama hawaupata ujumbe basi hawaupati tena.
 
Thread ya kufikirika hii,unakuwa mkao gani na unatumia nini kufanya hivyo? Kwanza sisi wengine hatujui kama kuna nywele za namna hiyo.
 
Aliekwambia tunanyoa na wembe nani na wewe, si kiwembe kitachana marinda yangu, tuna nyoa na magic shaver, nikirudi nyumban nitakupigia picha uamini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna mabwakuuu
 
Ndo maana ake, ktk uzi wake wote kajadili ngono, kuzaa holela na ushoga. Bas
 
Mikoani zinaitwa Makata mavi, ukimaliza kuchamba inabidi uinuke kidogo af utingishe tako kama kuku aliyenyeshewa ili kupunguza maji [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sijajua kama kuna watu wanayoa hizo nywele, lakini isiwe kigezo

Kama mtu una itikadi za kupelekewa moto hata usiponyoa utataka tu hiyo michezo ya kifirauni

Cha msingi ni mtoto wa kiume kujitambua na kuwa na mikazo, ukijilegeza legeza utaolewa tu
Wapo walio kaza na wameolewa pia.
Ndo maana mnashindwa namna ya kupambana na ushoga, mnawaza kizamani.
Watu wameshatoka huko kitamboo.
 
Haya nyoa basi mkuu vijana wa dar ndio mlivyo

Mimi ni kijana wa mkoani na huwa nanyoa nywele sehemu zote zinazopaswa kunyolewa including nywele za makalioni. Mtu unakaa na nywele hadi zinaota ukungu uchafu mtupu. Mkipata fungus mnaenda kuwabong’olea madaktari wawakague wawape dawa[emoji28] tuepuke aibu ndogondogo zinazosababishwa na uchafu unaoweza kuepukika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…