Kijana mwenzangu una akiba kiasi gani benki?

Kijana mwenzangu una akiba kiasi gani benki?

Kijana mwezangu mambo vipi? Katika mishe zako za utafutaji fanya vyote ila usikose akiba ya hela.

Tutafute pesa kwa juhudi zote ila pia tukumbuke na kuzitunza.

Unaweza kutunza pesa bila ya kuwa na tamaa ya matumizi yasiyo ya lazima?

Kama ni ndio tuambie akiba yako inaweza kufika kiasi gani cha pesa?

View attachment 2881850
Masikini ndio huwa wanaweka hela benk, matajiri wanaenda kuzichukua na kuanzisha miradi!! endelea na ujinga wa kuwatajirisha kina Abood.
 
Masikini ndio huwa wanaweka hela benk, matajiri wanaenda kuzichukua na kuanzisha miradi!! endelea na ujinga wa kuwatajirisha kina Abood.
Kuwa na hela bank haimaanishi huna assets nyengine. Ina maanisha una liquidity kwa opportunity itakayojitokeza.

Unadhani huyo tajari mwenye assets unazofikiria ana laki 4 tu benki?
 
Hii ndo akiba yangu japo haipo bank
 

Attachments

  • IMG_20240125_210246_963.jpg
    IMG_20240125_210246_963.jpg
    458.7 KB · Views: 7
Back
Top Bottom