Ze_Papirii
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 558
- 1,117
Natamani kuweka screenshot ya balance zangu hapa lakin akina Lamomy na Joannah naona km wataniandama sana..[emoji1781][emoji2211]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 weka tukupe ushauriNatamani kuweka screenshot ya balance zangu hapa lakin akina Lamomy na Joannah naona km wataniandama sana..[emoji1781][emoji2211]
kuna siku utapata shida ya chap uanze kuuza assets haziuziki kwa wakati ndo utapata akiliKuna siku utaamka utakuta gvt imezichukua ndo utapata akili
Yani ww una sura nyingi km agano la kale.!!
Naam mkuu umenena vyema..si mbaya mjuba,
pole pole ndio mwendo..
kidogo kidogo ndio mpango,
sio rahisi kwakweli,
inahitaji muda, subra na ustahimilivu, na,
kwa Neema na Baraka za Mungu inawezekana kabisa...
ile muhimu zaidi ni kuomba Mungu, kushukuru, kufanya bidii na kutokukata tamaa kabisa na bila tashwishwi yeyote atakufanyia wepesi na kukuonyesha njia na utafanikiwa....
Marko 4:8Yani ww una sura nyingi km agano la kale.!!
Weka balance tujue tunakusaidiaje kuongeza zingine km hizo 😜
Mkopo kutoka Bank flan flanKijana mwezangu mambo vipi? Katika mishe zako za utafutaji fanya vyote ila usikose akiba ya hela.
Tutafute pesa kwa juhudi zote ila pia tukumbuke na kuzitunza.
Unaweza kutunza pesa bila ya kuwa na tamaa ya matumizi yasiyo ya lazima?
Kama ni ndio tuambie akiba yako inaweza kufika kiasi gani cha pesa?
View attachment 2881850
Nasikia kizungu zungu nikisoma maandishi marefu km haya.!!Marko 4:8
Mbegu nyingine zilianguka kwenye udongo mzuri, zikaota vizuri na kukua, zikatoa mazao, moja mara thelathini, nyingine mara sitini, na nyingine mara mia moja.”
Sote tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu.
Mungu ni mwema sana kwetu sote, atatatufanikisha katika yote...
Mungu akubariki sana wewe, chakula na kinywaji utakacho tumia, ule na unywe ili upate nguvu na afya za kumtumikia Mungu, familia na wahitaji mbalimbali daima.....Nasikia kizungu zungu nikisoma maandishi marefu km haya.!!
Ngoja niende lunch, nikirudi ndio nisome
Haya jamani challenge accepted euro hizo kwa mara ya kwanza Christopher Wallace ya piiilii kabla sija 🔨
Havana ni mji mkuu wa CubaHavana Tena sio cuba
Ndio huko hukoHavana Tena sio cuba
Kijumbe namwekea ta callSi nyumbani
[emoji38][emoji38][emoji38]mtoto barazuli sana weweNasikia kizungu zungu nikisoma maandishi marefu km haya.!!
Ngoja niende lunch, nikirudi ndio nisome
[emoji1787]hata nawe unapata wapi ujasiri wakunipingausitupige kamba[emoji2][emoji2]