Kijana mwenzangu una akiba kiasi gani benki?

Kijana mwenzangu una akiba kiasi gani benki?

hii kazi ya neno nafanyaga kwa wapendwa ni ngumu sana mama yangu wa kiroho Joannah ,

wanafunzi ni wa aina tofauti kama hivi sasa dah...

Yesu alikua nao 12 tu lakini alipata tabu sana...

nisamehe bure mtumish Lamomy ntafanyaje sasa..
Yani ww una sura nyingi km agano la kale.!!
Weka balance tujue tunakusaidiaje kuongeza zingine km hizo 😜
 
si mbaya mjuba,

pole pole ndio mwendo..
kidogo kidogo ndio mpango,

sio rahisi kwakweli,
inahitaji muda, subra na ustahimilivu, na,
kwa Neema na Baraka za Mungu inawezekana kabisa...

ile muhimu zaidi ni kuomba Mungu, kushukuru, kufanya bidii na kutokukata tamaa kabisa na bila tashwishwi yeyote atakufanyia wepesi na kukuonyesha njia na utafanikiwa....
Naam mkuu umenena vyema..
 
Yani ww una sura nyingi km agano la kale.!!
Weka balance tujue tunakusaidiaje kuongeza zingine km hizo 😜
Marko 4:8
Mbegu nyingine zilianguka kwenye udongo mzuri, zikaota vizuri na kukua, zikatoa mazao, moja mara thelathini, nyingine mara sitini, na nyingine mara mia moja.”

Sote tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu.
Mungu ni mwema sana kwetu sote, atatatufanikisha katika yote...
 
Kijana mwezangu mambo vipi? Katika mishe zako za utafutaji fanya vyote ila usikose akiba ya hela.

Tutafute pesa kwa juhudi zote ila pia tukumbuke na kuzitunza.

Unaweza kutunza pesa bila ya kuwa na tamaa ya matumizi yasiyo ya lazima?

Kama ni ndio tuambie akiba yako inaweza kufika kiasi gani cha pesa?

View attachment 2881850
Mkopo kutoka Bank flan flan
😂
 
Marko 4:8
Mbegu nyingine zilianguka kwenye udongo mzuri, zikaota vizuri na kukua, zikatoa mazao, moja mara thelathini, nyingine mara sitini, na nyingine mara mia moja.”

Sote tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu.
Mungu ni mwema sana kwetu sote, atatatufanikisha katika yote...
Nasikia kizungu zungu nikisoma maandishi marefu km haya.!!
Ngoja niende lunch, nikirudi ndio nisome
 
Nasikia kizungu zungu nikisoma maandishi marefu km haya.!!
Ngoja niende lunch, nikirudi ndio nisome
Mungu akubariki sana wewe, chakula na kinywaji utakacho tumia, ule na unywe ili upate nguvu na afya za kumtumikia Mungu, familia na wahitaji mbalimbali daima.....
Aimen.....
 
Back
Top Bottom