Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaaa!! Kukwambia weka screenshot ndio umenishushia mzalendo 🤣🤣🤣Lakini Thomas hakuwa hapo wakati huo. Wanafunzi wenzake walimwambia kwamba walimwona Bwana, lakini Thomas alisema, "Nikiona alama za misumari mikononi mwake, na kuweka kidole changu ndani ya hizo alama, na kuweka mkono wangu katika ubavu wake, hapo ndipo nitakapomwamini."
amini hivyo tu mtumishi mpendwa sana Lamomy,
mwachie Tomaso yaliyo ya Tomaso...
M/kiti unalala sana 🤣🤣Wee kumbe JF Kuna madon na hamsemi?ngoja nitulie Kwa uchambuzi zaidi
Rich people invest in money while poor people invest in timeKijana mwezangu mambo vipi? Katika mishe zako za utafutaji fanya vyote ila usikose akiba ya hela.
Tutafute pesa kwa juhudi zote ila pia tukumbuke na kuzitunza.
Unaweza kutunza pesa bila ya kuwa na tamaa ya matumizi yasiyo ya lazima?
Kama ni ndio tuambie akiba yako inaweza kufika kiasi gani cha pesa?
View attachment 2881850
Comment yako imerandana na I'd Hadi Raha...Aisee vuta socks hicho ni kiasi kidogo sana
Yaani ndio kwanza naamka hebu ngoja nitulie hapaM/kiti unalala sana 🤣🤣
Mi nasubiria wa kuvunja record ya wa million 200 hapa
ni katika kukuimarisha kiimani mama, ili kusudi tusonge pamoja mpaka benki wakati muafaka ikikupendeza...Khaaa!! Kukwambia weka screenshot ndio umenishushia mzalendo 🤣🤣🤣
usitupige kamba[emoji2][emoji2]sina hata haja yakusema jina langu linajieleza
Mi nimeweka kambi, nione wale mafogo (in wizzy voice) 😂😂😂Yaani ndio kwanza naamka hebu ngoja nitulie hapa
Imani za kunishushia waraka wa mtume Paulo siutaki 🤣🤣🤣ni katika kukuimarisha kiimani mama, ili kusudi tusonge pamoja mpaka benki wakati muafaka ikikupendeza...
Hamna Fogo ataweka data zake hapa😁😁😁Mi nimeweka kambi, nione wale mafogo (in wizzy voice) 😂😂😂
AnakuchoshaaaImani za kunishushia waraka wa mtume Paulo siutaki 🤣🤣🤣
Wapo bana we subiri, mbona washaanza kujitokeza 🤣🤣Hamna Fogo ataweka data zake hapa😁😁😁
Tusamehe boss, ndiyo inavyotufanyia ila si kwamba tumependa hivyo, tuombeane heri tu! 😄Humu Wengi Wanadaiwa Songesha, nipige tafu, Salary Advance, n.k
Wanaendekeza Uchawi na Wizi.
Nilimkaribisha mwana Jf mmoja geto kaniibia Buku 3 yangu.
si mbaya mjuba,Voda na SONGESHA yake hawana Baya.
Wananidai wananipa ofa halafu wanaichukua hapo hapo kufidia deni[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2882388View attachment 2882389
Nauli za binamu jana kashindwa kutuma, eti ss hivi anasema tufike muafaka twende benki 🤣🤣🤣🤣Anakuchoshaaa
nasubiri mkeka utiki, nitakuwekeaWeka yako tuone,.