Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
fanya chap sasaNakuja unitoe pesa ya lunch tajiri, huna baya [emoji23][emoji23][emoji23]
Daaah umekuja kumchoma mwenzio sio 😂😂😂😂Humu Wengi Wanadaiwa Songesha, nipige tafu, Salary Advance, n.k
Wanaendekeza Uchawi na Wizi.
Nilimkaribisha mwana Jf mmoja geto kaniibia Buku 3 yangu.
Yan aende masaki hela ikapukutikir masaki mkuu ?Hiyo pichq kaweka si yake.
Kaonyesha demo.wewe unafikiri mtu mwenye pesa atahangaika hapa jF kuonyesha pesa zake wakat havoc pisi zimejaa?
Ukifikiria Majanga ya ghafla utaona tofauti yako na asiyeweka akiba.Ukikifikiria kifo huoni tofauti yako na asiye weka akiba
🤣🤣🤣🤣 Anataka kutupa magonjwa ya Moyo🤣🤣🤣 mbaaavu sana huyu🤣🤣🤣Unatoa vitu tweeter kuja kurusha roho watu huku ili iweje.View attachment 2882438
Boss we acha tu, labda siku nikijipata ndo nitakuwa na uwezo wa kuwafokea matajiri, saiv sistahili kwa lolote kuwasema vibaya matajiri.Bora ww hujataka unafiki, hujamponda ila umechungulia fursa ya kuomba 🤣🤣🤣
What I understand is, banking apps do not allow taking screenshots.
Tell us you took a picture, which is not true.
Nevertheless, sina hela.
Mkuu mi nitoe tu hiyo 900kView attachment 2882378
Huyu Mwamba kaua.
Tusikae kinyonge sioKijana kuwaza maendeleo ni upumbavu, life begins at 40.
Hahahahahahah,hatupati ng'oooo.Unatoa vitu tweeter kuja kurusha roho watu huku ili iweje.View attachment 2882438
Unatoa vitu tweeter kuja kurusha roho watu huku ili iweje.View attachment 2882438
🤣🤣🤣 mi namwambia habari za pesa yy ananiletea kurasa za agano la kale kweli.?![emoji38][emoji38][emoji38]mtoto barazuli sana wewe
🤣🤣🤣🤣 Hivi hawajaacha kuomba afu tatuHawa hawa wanapost masalio kesho wanaomba afu tatu pm