Ngoja nifungue pm boss lady unipe mipesa miyeee πππfanya chap sasa
π€£π€£π€£π€£ Akaunti yako inasoma kama yangu bora iendeDuuh kuna mimi yatima wa βakibaβ acha nisome tu comments.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ khaaaaaa!!!Unatoa vitu tweeter kuja kurusha roho watu huku ili iweje.View attachment 2882438
π€£π€£π€£ kajua kunichekeshaHahahahahahah,hatupati ng'oooo.
koment tuu hapa
ππππHumu Wengi Wanadaiwa Songesha, nipige tafu, Salary Advance, n.k
Wanaendekeza Uchawi na Wizi.
Nilimkaribisha mwana Jf mmoja geto kaniibia Buku 3 yangu, ana lijihirizi linapumua shingoni.
Hahahahahaha, inaeleweka mbona,Unatoa vitu tweeter kuja kurusha roho watu huku ili iweje.View attachment 2882438
msamehe bure[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mi namwambia habari za pesa yy ananiletea kurasa za agano la kale kweli.?!
Kikubwa uzimaπ€£π€£π€£π€£ Akaunti yako inasoma kama yangu bora iende
Tumuachie Mungu kwanza nawao wanapata usingizi kama nao pataπ€£π€£Kikubwa uzima
Masikini ndio huwa wanaweka hela benk, matajiri wanaenda kuzichukua na kuanzisha miradi!! endelea na ujinga wa kuwatajirisha kina Abood.Kijana mwezangu mambo vipi? Katika mishe zako za utafutaji fanya vyote ila usikose akiba ya hela.
Tutafute pesa kwa juhudi zote ila pia tukumbuke na kuzitunza.
Unaweza kutunza pesa bila ya kuwa na tamaa ya matumizi yasiyo ya lazima?
Kama ni ndio tuambie akiba yako inaweza kufika kiasi gani cha pesa?
View attachment 2881850
Kuwa na hela bank haimaanishi huna assets nyengine. Ina maanisha una liquidity kwa opportunity itakayojitokeza.Masikini ndio huwa wanaweka hela benk, matajiri wanaenda kuzichukua na kuanzisha miradi!! endelea na ujinga wa kuwatajirisha kina Abood.
Ya kizushu hiyo...haina hata balance!π΅π΅Haya jamani challenge accepted euro hizo kwa mara ya kwanza Christopher Wallace ya piiilii kabla sija π¨
Acha zako tajiri πYa kizushu hiyo...haina hata balance!π΅π΅