Kijana mwenzangu una akiba kiasi gani benki?

Kijana mwenzangu una akiba kiasi gani benki?

Kijana mwezangu mambo vipi? Katika mishe zako za utafutaji fanya vyote ila usikose akiba ya hela.

Tutafute pesa kwa juhudi zote ila pia tukumbuke na kuzitunza.

Unaweza kutunza pesa bila ya kuwa na tamaa ya matumizi yasiyo ya lazima?

Kama ni ndio tuambie akiba yako inaweza kufika kiasi gani cha pesa?

View attachment 2881850
kwa umri wako that's very nice amount,
never give up, always aim higher you can make it even bigger and more better 🐒
 
Kijana mwezangu mambo vipi? Katika mishe zako za utafutaji fanya vyote ila usikose akiba ya hela.

Tutafute pesa kwa juhudi zote ila pia tukumbuke na kuzitunza.

Unaweza kutunza pesa bila ya kuwa na tamaa ya matumizi yasiyo ya lazima?

Kama ni ndio tuambie akiba yako inaweza kufika kiasi gani cha pesa?

View attachment 2881850
Hiyo nayo ni pesa ya kuionyesha hapa kweli!? Wahaya mkisha chukua mikopo huwa mna sumbua sana.
 
Screenshot_20240124_234806.jpg
 
Kijana mwezangu mambo vipi? Katika mishe zako za utafutaji fanya vyote ila usikose akiba ya hela.

Tutafute pesa kwa juhudi zote ila pia tukumbuke na kuzitunza.

Unaweza kutunza pesa bila ya kuwa na tamaa ya matumizi yasiyo ya lazima?

Kama ni ndio tuambie akiba yako inaweza kufika kiasi gani cha pesa?

View attachment 2881850
Bank wezi, wanashirikiana na serikali ya CCM kuweka makato HARAMU. Akiba zetu tunaweka nyumbani ndugu
 
Money speaks one language if you save me today I will save you tomorrow.

Hongera kwa akiba ila hio pesa ungewekeza sehemu ikuletee faida na uwe na emergency fund hata 10m. Ungekuwa mbali sana.

Alafu by the way hivi nmb app siku hizi wanaruhusu screen shot haina maana kupost picha kuonesha watu kwamba unahela kiasi gani,kuna watu wanahela kibao lakini hawapendi kelele.
 
Kijana mwezangu mambo vipi? Katika mishe zako za utafutaji fanya vyote ila usikose akiba ya hela.

Tutafute pesa kwa juhudi zote ila pia tukumbuke na kuzitunza.

Unaweza kutunza pesa bila ya kuwa na tamaa ya matumizi yasiyo ya lazima?

Kama ni ndio tuambie akiba yako inaweza kufika kiasi gani cha pesa?

View attachment 2881850
.....Keeping money in Bank is burning your pocket...invest in asserts..kwa mujibu wa Guru wa uchumi Robert Kiyosaki.
 
Back
Top Bottom