Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.....Keeping money in Bank is burning your pocket...invest in asserts..kwa mujibu wa Guru wa uchumi Robert Kiyosaki.
Anajisifia ujingaBrother usiwaamshe watashupaa!
😁 huko bank hawana hata jina langu, achilia mbali hiyo akiba.Aya jamanii 200mil hiyoo
Mwenye 500mil 1bil aweke wapi Depal Dr Lizzy mshamba_hachekwi Maghayo Tayana-wog Extrovert Saint Anne Mahondaw Smart911 RRONDO@Mideko
Huna helaKijana mwezangu mambo vipi? Katika mishe zako za utafutaji fanya vyote ila usikose akiba ya hela.
Tutafute pesa kwa juhudi zote ila pia tukumbuke na kuzitunza.
Unaweza kutunza pesa bila ya kuwa na tamaa ya matumizi yasiyo ya lazima?
Kama ni ndio tuambie akiba yako inaweza kufika kiasi gani cha pesa?
View attachment 2881850
Aisee vuta socks hicho ni kiasi kidogo sana
What I understand is, banking apps do not allow taking screenshots.
Tell us you took a picture, which is not true.
Nevertheless, sina hela.
Kwa mwaka jana ni kweli zilikuwa zinakataa… ila baadae walirudishaWhat I understand is, banking apps do not allow taking screenshots.
Tell us you took a picture, which is not true.
Nevertheless, sina hela.
nabado bata kama kawa🤣🤲🙌Alafu Kuna sie sasa ambao salio linasoma masafa ya fm radio 98.50 tukuyu fm.
hela ya akiba weka benki sio hela yote we unaingiza tu kwenye assets.....Keeping money in Bank is burning your pocket...invest in asserts..kwa mujibu wa Guru wa uchumi Robert Kiyosaki.
Kuna siku utaamka utakuta gvt imezichukua ndo utapata akilihela ya akiba weka benki sio hela yote we unaingiza tu kwenye assets
Sina hata mia, naitoa wapi sasa jmn mie jobless😅Aya jamanii 200mil hiyoo
Mwenye 500mil 1bil aweke wapi Depal Dr Lizzy mshamba_hachekwi Maghayo Tayana-wog Extrovert Saint Anne Mahondaw Smart911 RRONDO@Mideko
fish netTangazo hilo limekaa kimkakati tuliosoma Havana tumeelewa
ukiwa umejaa WEMA na UTU hizo AKIBA kubwa sanaSina hata mia, naitoa wapi sasa jmn mie jobless