Kijana mwenzangu una akiba kiasi gani benki?

Kijana mwenzangu una akiba kiasi gani benki?

Money speaks one language if you save me today I will save you tomorrow.

Hongera kwa akiba ila hio pesa ungewekeza sehemu ikuletee faida na uwe na emergency fund hata 10m. Ungekuwa mbali sana.

Alafu by the way hivi nmb app siku hizi wanaruhusu screen shot haina maana kupost picha kuonesha watu kwamba unahela kiasi gani,kuna watu wanahela kibao lakini hawapendi kelele.
Angalia vizuri kabisa na simu nyingine ,kioo cha simu kwa nje nikaonekana.
 
Falsafa ya kwanza ya uwekaji akiba kwa pesa unazopata, iwe za mshahara au faida ya ujasiriamali au biashara; Weka akiba kwanza zinazobaki ndiyo tumia, usiseme unatumia kwanza zinazobaki ndiyo uweke akiba. Hutoweza.

Kama falsafa hiyo ya kwanza umeielewa, ukitaka kuelewa falsafa ya pili na tatu utauliza niziandike.

Kama hujaielewa hiyo ya kwanza usiulize kuhusu ya pili na ya tatu.
 
Falsafa ya kwanza ya uwekaji akiba kwa pesa unazopata, iwe za mshahara au faida ya ujasiriamali au biashara; Weka akiba kwanza zinazobaki ndiyo tumia, usiseme unatumia kwanza zinazobaki ndiyo uweke akiba. Hutoweza.

Kama falsafa hiyo ya kwanza umeielewa, ukitaka kuelewa falsafa ya pili na tatu utauliza niziandike.

Kama hujaielewa hiyo ya kwanza usiulize kuhusu ya pili na ya tatu.
hii ni kweli kabisa sbb kuweka akiba ni ujasiri ambao sio kila mtu anao!
 
Kijana mwezangu mambo vipi? Katika mishe zako za utafutaji fanya vyote ila usikose akiba ya hela.

Tutafute pesa kwa juhudi zote ila pia tukumbuke na kuzitunza.

Unaweza kutunza pesa bila ya kuwa na tamaa ya matumizi yasiyo ya lazima?

Kama ni ndio tuambie akiba yako inaweza kufika kiasi gani cha pesa?

View attachment 2881850
Mkopo wako wa NMB umesha ingia?
 
Falsafa ya kwanza ya uwekaji akiba kwa pesa unazopata, iwe za mshahara au faida ya ujasiriamali au biashara; Weka akiba kwanza zinazobaki ndiyo tumia, usiseme unatumia kwanza zinazobaki ndiyo uweke akiba. Hutoweza.

Kama falsafa hiyo ya kwanza umeielewa, ukitaka kuelewa falsafa ya pili na tatu utauliza niziandike.

Kama hujaielewa hiyo ya kwanza usiulize kuhusu ya pili na ya tatu.
nimeielewa...andika zilizobakia
 
Kijana mwezangu mambo vipi? Katika mishe zako za utafutaji fanya vyote ila usikose akiba ya hela.

Tutafute pesa kwa juhudi zote ila pia tukumbuke na kuzitunza.

Unaweza kutunza pesa bila ya kuwa na tamaa ya matumizi yasiyo ya lazima?

Kama ni ndio tuambie akiba yako inaweza kufika kiasi gani cha pesa?

View attachment 2881850
Nakushauri uiweke fixed account,,angalau ikuzalishie million 3 kwa mwaka au laki 250 kwa mwezi
 
What I understand is, banking apps do not allow taking screenshots.
Tell us you took a picture, which is not true.
Nevertheless, sina hela.
Zipo zinazoruhusu....
NBC imenikatalia ila DTB imekubali.
Screenshot_20240125_100752_DTB TZ m247.jpg
 
Back
Top Bottom