Mwamba ana 36.8M, sasa akinitoa hiyo laki nane atakuwa hajapoteza sana😀 😀 😀 😀 Kwamba laki 8.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwamba ana 36.8M, sasa akinitoa hiyo laki nane atakuwa hajapoteza sana😀 😀 😀 😀 Kwamba laki 8.
afu haipendezi mwanaume kuwa na wivu dizaini hii ...yaani haiji kabisaaNa mi nimeshangaa wanaume wamejawa makasiriko na huu uzi wa mwanaume mwenzao.?!! Ilitakiwa wajibu mashambulizi kwa kutuwekea screenshot za kutosha, watuonyeshe wanawake mwanaume sio kumiliki p*mbu tyuu 🤣🤣🤣
omba efu 3 tu uone kama utapewaaaMwamba ana 36.8M, sasa akinitoa hiyo laki nane atakuwa hajapoteza sana
Kwakweli wema na ubaya ni akibaakiba niliyonayo ni wema tu
🤣🤣🤣afu haipendezi mwanaume kuwa na wivu dizaini hii ...yaani haiji kabisaa
Utalia kilio kibaya ww 🤣🤣🤣Hela yangu ipo kwa kijumbe🤣🤣
🤣🤣🤣 FRESHMANHumu Wengi Wanadaiwa Songesha, nipige tafu, Salary Advance, n.k
Wanaendekeza Uchawi na Wizi.
Nilimkaribisha mwana Jf mmoja geto kaniibia Buku 3 yangu.
Hasira za kukosa pesa hizo 🤣🤣🤣afu haipendezi mwanaume kuwa na wivu dizaini hii ...yaani haiji kabisaa
wale waleeMasikini akipata matako hulia mbwata. Wahenga hawakukosea hii mitathali.
🤣🙌Penzi kuzaliwa ndo nimecheka mnoNgoja niwe mtazamaji ma-don wa jf waoneshane umwamba! Kuona penzi litazaliwa soon ngoja wafike
Nadhani mwamba atanizingatia aseeomba efu 3 tu uone kama utapewaaa
HahahahahaSubiri midangaji na mi single mama ya JF ikujalie inbox kuomba ruzuku na kukuahidi maajabu ya dunia
sasa sijui niweke ya benki gani ndo natafakri apa,Nasubiri picha ya balance yako hapa nikushauri kitu 😜
Bora ww hujataka unafiki, hujamponda ila umechungulia fursa ya kuomba 🤣🤣🤣Nadhani mwamba atanizingatia asee
Havana Tena sio cubaTangazo hilo limekaa kimkakati tuliosoma Havana tumeelewa