kwa umri wako that's very nice amount,Kijana mwezangu mambo vipi? Katika mishe zako za utafutaji fanya vyote ila usikose akiba ya hela.
Tutafute pesa kwa juhudi zote ila pia tukumbuke na kuzitunza.
Unaweza kutunza pesa bila ya kuwa na tamaa ya matumizi yasiyo ya lazima?
Kama ni ndio tuambie akiba yako inaweza kufika kiasi gani cha pesa?
View attachment 2881850
Aya jamanii 200mil hiyooPambana uongeze savings kaka
View attachment 2881895
Sina hata mia mzeiyaAya jamanii 200mil hiyoo
Mwenye 500mil 1bil aweke wapi Depal Dr Lizzy mshamba_hachekwi Maghayo Tayana-wog Extrovert Saint Anne Mahondaw Smart911 RRONDO@Mideko
Acha zako tajiri 😁Sina hata mia mzeiya
Nadaiwa na Airtel 2300 mzeiyaAcha zako tajiri 😁
Unajaribu kujipa shida sio 😁Nadaiwa na Airtel 2300 mzeiya
Hiyo nayo ni pesa ya kuionyesha hapa kweli!? Wahaya mkisha chukua mikopo huwa mna sumbua sana.Kijana mwezangu mambo vipi? Katika mishe zako za utafutaji fanya vyote ila usikose akiba ya hela.
Tutafute pesa kwa juhudi zote ila pia tukumbuke na kuzitunza.
Unaweza kutunza pesa bila ya kuwa na tamaa ya matumizi yasiyo ya lazima?
Kama ni ndio tuambie akiba yako inaweza kufika kiasi gani cha pesa?
View attachment 2881850
Mie nina deni la 13 BillionsAya jamanii 200mil hiyoo
Mwenye 500mil 1bil aweke wapi Depal Dr Lizzy mshamba_hachekwi Maghayo Tayana-wog Extrovert Saint Anne Mahondaw Smart911 RRONDO@Mideko
Bank wezi, wanashirikiana na serikali ya CCM kuweka makato HARAMU. Akiba zetu tunaweka nyumbani nduguKijana mwezangu mambo vipi? Katika mishe zako za utafutaji fanya vyote ila usikose akiba ya hela.
Tutafute pesa kwa juhudi zote ila pia tukumbuke na kuzitunza.
Unaweza kutunza pesa bila ya kuwa na tamaa ya matumizi yasiyo ya lazima?
Kama ni ndio tuambie akiba yako inaweza kufika kiasi gani cha pesa?
View attachment 2881850
.....Keeping money in Bank is burning your pocket...invest in asserts..kwa mujibu wa Guru wa uchumi Robert Kiyosaki.Kijana mwezangu mambo vipi? Katika mishe zako za utafutaji fanya vyote ila usikose akiba ya hela.
Tutafute pesa kwa juhudi zote ila pia tukumbuke na kuzitunza.
Unaweza kutunza pesa bila ya kuwa na tamaa ya matumizi yasiyo ya lazima?
Kama ni ndio tuambie akiba yako inaweza kufika kiasi gani cha pesa?
View attachment 2881850