The Lastdream
JF-Expert Member
- Jan 23, 2024
- 1,970
- 4,616
Hiyo pichq kaweka si yake.Subiri PM ijae Mashangazi ya JF
Kaonyesha demo.wewe unafikiri mtu mwenye pesa atahangaika hapa jF kuonyesha pesa zake wakat havoc pisi zimejaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo pichq kaweka si yake.Subiri PM ijae Mashangazi ya JF
labda iwe hivyo, lakini mbona nyakati zetu hizi huna haja ya kuzunguka mzunguko mkubwa kiasi hicho?Tangazo hilo limekaa kimkakati tuliosoma Havana tumeelewa
[emoji23][emoji23][emoji23]Humu Wengi Wanadaiwa Songesha, nipige tafu, Salary Advance, n.k
Wanaendekeza Uchawi tu humu..
Nilimkaribisha mwana Jf mmoja geto kaniibia Buku 3 yangu.
Yani badala ya kuizungusha pesa unawapa bank mtaji wafanyie biashara?Kijana mwezangu mambo vipi? Katika mishe zako za utafutaji fanya vyote ila usikose akiba ya hela.
Tutafute pesa kwa juhudi zote ila pia tukumbuke na kuzitunza.
Unaweza kutunza pesa bila ya kuwa na tamaa ya matumizi yasiyo ya lazima?
Kama ni ndio tuambie akiba yako inaweza kufika kiasi gani cha pesa?
View attachment 2881850
Mbwinu ni nyingi sana lazima uwe Mbunifulabda iwe hivyo, lakini mbona nyakati zetu hizi huna haja ya kuzunguka mzunguko mkubwa kiasi hicho?
huna hatari yoyote ndugu yanguNina 1000/= tu....kama savings, hii hatar sana ahsante kwa kunikumbusha mkuu...
na hautakwama kwa lolote na hata omba msaada kwa yoyote .Duh nina account mpesa pekee salio 200 TSH
Mimi huwa siwekagi Akiba benki kiasi kikubwa Hela zote naingiza kwenye kuwekeza na kununua Asset, huwa napata ugumu wa kuacha hela zangu nyingi benki.Kijana mwezangu mambo vipi? Katika mishe zako za utafutaji fanya vyote ila usikose akiba ya hela.
Tutafute pesa kwa juhudi zote ila pia tukumbuke na kuzitunza.
Unaweza kutunza pesa bila ya kuwa na tamaa ya matumizi yasiyo ya lazima?
Kama ni ndio tuambie akiba yako inaweza kufika kiasi gani cha pesa?
View attachment 2881850
labda ni mgeni kwenye tasnia.Mbwinu ni nyingi sana lazima uwe Mbunifu
wala usiwe na shaka my friend, huta kwama popoteDuuh kuna mimi yatima wa “akiba” acha nisome tu comments.
ajabu kwa kiasi chakeYani badala ya kuizungusha pesa unawapa bank mtaji wafanyie biashara?
Mimi na wewe hatuchekani nina mkopo wa nivushe na Bustisha.Duh nina account mpesa pekee salio 200 TSH
AMEN my Dear.wala usiwe na shaka my friend, huta kwama popote
be blessedAMEN my Dear.