Tetesi: Kijana toka Kanda ya Ziwa anaandaliwa baada ya Mihula ya Rais Samia kuisha

Tetesi: Kijana toka Kanda ya Ziwa anaandaliwa baada ya Mihula ya Rais Samia kuisha

World light

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2022
Posts
382
Reaction score
352
Wanasema ili kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi hasa ya kukataa rushwa au ufisadi kutoka Kanda ya ziwa Magharibi lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.

Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa na Magharibi wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita, Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.

Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha yake ni ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl. Nyerere.

Pia soma: Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?

Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM

Kuelekea 2025 - Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030

Sijui kwanini, ila kila nikimtizama Waziri Biteko, ninaona picha ya Urais kwake
 
Wanasema kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi kutoka Kanda ya ziwa lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.

Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita,Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.

Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi sana na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa kwani anahofu kubwa ya Mungu na maisha ya kawaida.
Hii nchi hamfikirii tena kama Kuna uchaguzi ulio huru na haki

Badala yake mnajitengenezea viongozi toka chama Tawala pekee, utadhani hii nchi ni ya mfumo wa chama kimoja😎
 
Wanasema kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi kutoka Kanda ya ziwa lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.

Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita,Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.

Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi sana na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa kwani anahofu kubwa ya Mungu na maisha ya kawaida.
Hakuna mtu kutoka Kagera anaweza kuwa rais wa nchi hii
 
Wanasema kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi kutoka Kanda ya ziwa lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.

Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita,Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.

Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi sana na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl Nyerere.
Kwamba akiwa Ngosha atawekewa sumu?
 
Wanasema kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi kutoka Kanda ya ziwa lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.

Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita,Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.

Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi sana na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl Nyerere.
Kwa nini msitafute kiongozi mwenye Sifa Tanzania kote ?
 
Doto anafaa.
Kwa ujumla Nchi lazima iwe na Kiongozi, atoke kokote atokako, lazima Raisi wa Tanzania, atatoka Tanzania. Kwani huko Kanda ya ziwa ni Palestina?
 
Back
Top Bottom