Tetesi: Kijana toka Kanda ya Ziwa anaandaliwa baada ya Mihula ya Rais Samia kuisha

Tetesi: Kijana toka Kanda ya Ziwa anaandaliwa baada ya Mihula ya Rais Samia kuisha

Wanasema kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi kutoka Kanda ya ziwa lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.

Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita,Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.

Pia soma: Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?

Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi sana na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha yake ni ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl. Nyerere.
Kafulila ndio mpango wa Mungu mwenyewe
 
Kafulila ni mjinga ila watu wake ni wapumbavu. Hivi aliyewaambia kuwa ukiandikwa sana JamiiForums ndiyo utakuwa popular ni nani? CM 1774858
Kafulila katajwa wapi hapo mkuu,

Stress za nini?

Mimi navutiwa na Uzalendo wa Kafulila Kwa matumizi yangu binafsi tatizo liko wapi?
 
Wanasema kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi kutoka Kanda ya ziwa lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.

Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita,Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.

Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi sana na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha yake ni ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl. Nyerere.

Pia soma: Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?

Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM

Kuelekea 2025 - Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030

Sijui kwanini, ila kila nikimtizama Waziri Biteko, ninaona picha ya Urais kwake
Mhutu tena?
 
Wanasema kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi kutoka Kanda ya ziwa lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.

Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita,Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.

Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi sana na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha yake ni ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl. Nyerere.

Pia soma: Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?

Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM

Kuelekea 2025 - Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030

Sijui kwanini, ila kila nikimtizama Waziri Biteko, ninaona picha ya Urais kwake
hatuwezi kuruhusu mshamba mwingine aingie ikulu! bonde la uvuli wa mauti la JPM hatui
 
Wanasema kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi kutoka Kanda ya ziwa lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.

Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita,Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.

Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi sana na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha yake ni ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl. Nyerere.

Pia soma: Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?

Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM

Kuelekea 2025 - Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030

Sijui kwanini, ila kila nikimtizama Waziri Biteko, ninaona picha ya Urais kwake
atasafirije nje ya nchi wakati kapigwa ban?
 
hivi alivyopotea asijekuwa ameenda kuzimu kupigwa, hapo anatokota kwenye sufuria, akirudi hapo kila mtu anampenda.
 
Wanasema kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi kutoka Kanda ya ziwa lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.

Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita,Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.

Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi sana na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha yake ni ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl. Nyerere.

Pia soma: Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?

Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM

Kuelekea 2025 - Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030

Sijui kwanini, ila kila nikimtizama Waziri Biteko, ninaona picha ya Urais kwake
1723108129844.png
 
Wanasema kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi kutoka Kanda ya ziwa lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.

Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita,Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.

Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mli sana na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha yake ni ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl. Nyerere.

Pia soma: Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?

Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM

Kuelekea 2025 - Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030

Sijui kwanini, ila kila nikimtizama Waziri Biteko, ninaona picha ya Urais kwake

Wanasema kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi kutoka Kanda ya ziwa lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.

Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita,Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.

Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi sana na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha yake ni ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl. Nyerere.

Pia soma: Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?

Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM

Kuelekea 2025 - Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030

Sijui kwanini, ila kila nikimtizama Waziri Biteko, ninaona picha ya Urais kwake
Leo ndo nimejua Kigoma na Tabora ni kanda ya ziwa
 
Back
Top Bottom