Tetesi: Kijana toka Kanda ya Ziwa anaandaliwa baada ya Mihula ya Rais Samia kuisha

Tetesi: Kijana toka Kanda ya Ziwa anaandaliwa baada ya Mihula ya Rais Samia kuisha

Wanasema kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi kutoka Kanda ya ziwa lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.

Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa na Magharibi wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita,Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.

Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi sana na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha yake ni ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl. Nyerere.

Pia soma: Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?

Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM

Kuelekea 2025 - Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030

Sijui kwanini, ila kila nikimtizama Waziri Biteko, ninaona picha ya Urais kwake
Kanda nyingine vp? hazistahili kutoa Rais pia? acheni ubaguzi washenzi nyie!
 
Wanasema kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi kutoka Kanda ya ziwa lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.

Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa na Magharibi wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita,Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.

Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi sana na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha yake ni ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl. Nyerere.

Pia soma: Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?

Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM

Kuelekea 2025 - Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030

Sijui kwanini, ila kila nikimtizama Waziri Biteko, ninaona picha ya Urais kwake
David or inno
 
Hakuna mtu kutoka Kagera anaweza kuwa rais wa nchi hii
Hayati JPM alionyesha udhaifu wetu kanda ya ziwa. tuna ile superiority complex kujiona tuna haki sana ya kufanya maamuzi ya aina fulani kumbe tunaumiza baadhi ya wapiga kura.

Humility ni sifuri kabisa. Mfano hai ni mbunge Luhaga Mpina anavyohangaishana na serikali nzima ya Samia mara kwa mara. Hana uwezo wa kujishusha na hivyo haoni makosa yaliyopo katika matendo yake yote.

Tunaweza sana uwaziri mkuu mfano Biteko lakini urais una madaraka makubwa sana, ni rahisi kuumiza hao hao unaodhani unawafanyia wema katika maamuzi yako.
 
Asili ya mtu haiwez kuwa kikwazo sana endapo akifanyiwa uchunguzi kibinadam na kugundulika kwamba hana connection na outsiders na ni mzalendo. Vinginevyo obama asingekalia kiti, vinginevyo waziri mkuu wa uingereza mwenye asili ya kihindi asingile kalia kiti. Vinginevyo hapo nchini mwako wenye asili ya uarabuni au usomali wote wasingekalia viti
Bashe asingekuwa waziri wa kilimo, huko SA wale wahindi wasingekuwa sehemu ya wapigania uhuru waliomchangia Mandela pesa nyingi katika harakati za ANC.
 
Hayati JPM alionyesha udhaifu wetu kanda ya ziwa. tuna ile superiority complex kujiona tuna haki sana ya kufanya maamuzi ya aina fulani kumbe tunaumiza baadhi ya wapiga kura.

Humility ni sifuri kabisa. Mfano hai ni mbunge Luhaga Mpina anavyohangaishana na serikali nzima ya Samia mara kwa mara. Hana uwezo wa kujishusha na hivyo haoni makosa yaliyopo katika matendo yake yote.

Tunaweza sana uwaziri mkuu mfano Biteko lakini urais una madaraka makubwa sana, ni rahisi kuumiza hao hao unaodhani unawafanyia wema katika maamuzi yako.
Ukweli nyie watu wa kanda ya ziwa ni watawala (administrators) wazuri si viongozi (leadership) wazuri. Mtawala husimamia Sheria. Sisi wa mwambao Unafiki unatufanya tuwe viongozi wanaopendwa. Ila maendeleo hayahitaji kiongozi bali mtawala
 
Ukweli nyie watu wa kanda ya ziwa ni watawala (administrators) wazuri si viongozi (leadership) wazuri. Mtawala husimamia Sheria. Sisi wa mwambao Unafiki unatufanya tuwe viongozi wanaopendwa. Ila maendeleo hayahitaji kiongozi bali mtawala
Uko sahihi kabisa
 
Kwanza kuna uhakika gani Samia ataendelea 2025?
Yeye mwenyewe anafahamu hataendelea beyond 2025..acheni kutaka kuleta laana za bure hapa! Kiongozi anapatikana kutokana na mahitaji ya wakati..mijadala mingine ni kujadili upumbavu tu! Kuna mtu dunia hii ana uhakika kufika 2025?? Acha hiyo 2030..wakati mwingine ni kama mtu kalewa pombe anakuja jf kuanzisha mada km hii..
 
Hayati JPM alionyesha udhaifu wetu kanda ya ziwa. tuna ile superiority complex kujiona tuna haki sana ya kufanya maamuzi ya aina fulani kumbe tunaumiza baadhi ya wapiga kura.

Humility ni sifuri kabisa. Mfano hai ni mbunge Luhaga Mpina anavyohangaishana na serikali nzima ya Samia mara kwa mara. Hana uwezo wa kujishusha na hivyo haoni makosa yaliyopo katika matendo yake yote.

Tunaweza sana uwaziri mkuu mfano Biteko lakini urais una madaraka makubwa sana, ni rahisi kuumiza hao hao unaodhani unawafanyia wema katika maamuzi yako.
Biteko awe waziri mkuu..?unaongea kutoka kichwani..au tumbo ndio linaongea..
 
Hii nchi hamfikirii tena kama Kuna uchaguzi ulio huru na haki

Badala yake mnajitengenezea viongozi toka chama Tawala pekee, utadhani hii nchi ni ya mfumo wa chama kimoja😎
Amka toka usingizini.
 
NAONA KAPEWA OFISI MBILI AZISIMAMIE........PERPENDICULARLY
 
Kwanza kuna uhakika gani Samia ataendelea 2025?
Yeye mwenyewe anafahamu hataendelea beyond 2025..acheni kutaka kuleta laana za bure hapa! Kiongozi anapatikana kutokana na mahitaji ya wakati..mijadala mingine ni kujadili upumbavu tu! Kuna mtu dunia hii ana uhakika kufika 2025?? Acha hiyo 2030..wakati mwingine ni kama mtu kalewa pombe anakuja jf kuanzisha mada km hii..
Swala la Samia kuendelea 2025 halina mjadala
 
Nyerere Mwalimu

Mwinyi Mwalimu

Kikwete Mwalimu wa Siasa

Shujaa Magufuli Mwalimu wa kemia

2030 Mwalimu tena jamani?🐼
Kikwete ni mchumi. Mchumi aliyekulia kwenye siasa toka tumboni mwa mama yake.
 
Swala la Samia kuendelea 2025 halina mjadala
Hujui usemalo, hizo ni wishes zako..lkn hata yeye Samia anajua alipo hapo ni kwa bahati ya Mwenyezi Mungu kuwa Makamu na Rais ndani ya miaka 10 ana nini cha kuongeza? Katika miaka 10 kawaida tunabadilisha Rais na Makamu..miaka 10 amebahatika kuwa Makamu na Rais, sasa aendelee kwenda wapi?
 
Back
Top Bottom