Kama ni Mtanzania hakuna shida. Halafu wengi wanafikiri ni Naibu Waziri mkuu.Ni Mtanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni Mtanzania hakuna shida. Halafu wengi wanafikiri ni Naibu Waziri mkuu.Ni Mtanzania.
Then humjui Yesu vizuri. Ukimjua utajua hata upikwe vipi bado ana turufu mkononi mwake.hivi alivyopotea asijekuwa ameenda kuzimu kupigwa, hapo anatokota kwenye sufuria, akirudi hapo kila mtu anampenda.
Kafulila ni sawaWanasema kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi kutoka Kanda ya ziwa lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.
Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita,Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.
Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi sana na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha yake ni ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl. Nyerere.
Pia soma: Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?
Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM
Kuelekea 2025 - Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030
Sijui kwanini, ila kila nikimtizama Waziri Biteko, ninaona picha ya Urais kwake
Kafulila anafaa sanaKafulila ni mjinga ila watu wake ni wapumbavu. Hivi aliyewaambia kuwa ukiandikwa sana JamiiForums ndiyo utakuwa popular ni nani? CM 1774858
of course sijasema mtu akipikwa ndio atazidi mapenzi ya Mungu, that will never happen. ila hilo haliondoi ukweli kwamba hao mnaofikiri wanawaongoza hata hawana Mungu na hawamtegemei Mungu, Mungu tu anatulinda na kuwatumia hivyo hivyo.Then humjui Yesu vizuri. Ukimjua utajua hata upikwe vipi bado ana turufu mkononi mwake.
Ila asupopenda ukikalie kiti hata ufanye tambiko na adui mkuu mwenyewe bado hutakalia. Referendum ipo mikononi mwakeof course sijasema mtu akipikwa ndio atazidi mapenzi ya Mungu, that will never happen. ila hilo haliondoi ukweli kwamba hao mnaofikiri wanawaongoza hata hawana Mungu na hawamtegemei Mungu, Mungu tu anatulinda na kuwatumia hivyo hivyo.
ni kama tu kuna watoto wako waovu na wavuta bange kadhaa, hata Mungu akiruhusu ni kwamba anatuonea huruma sisi raia, kwamba basi tutawaliwe na kilaza bora kuliko vingine, ila wote sio watu wa Mungu na hawamwabudu Mungu, wamejaa uchawi na ukatili.Ila asupopenda ukikalie kiti hata ufanye tambiko na adui mkuu mwenyewe bado hutakalia. Referendum ipo mikononi mwake
Shujaa kwa lipi,hivi Tanzania ilikuwa kwenye ukoloni mpaka 2015?Nyerere Mwalimu
Mwinyi Mwalimu
Kikwete Mwalimu wa Siasa
Shujaa Magufuli Mwalimu wa kemia
2030 Mwalimu tena jamani?🐼
Kwani wewe uko Huru? 😂Shujaa kwa lipi,hivi Tanzania ilikuwa kwenye ukoloni mpaka 2015?
Ni mnyarwandaKwani Mwl sio ngosha?😀😀
Mimi niko Huru,siyo mtumwa wa mtu.Kwani wewe uko Huru? 😂
Unajuwa maana ya uzalendo lakini? Mtu anafanya kazi na analipwa mshahara halafu unaniambia kwa kutimiza majukumu yake ana uzalendoKafulila katajwa wapi hapo mkuu,
Stress za nini?
Mimi navutiwa na Uzalendo wa Kafulila Kwa matumizi yangu binafsi tatizo liko wapi?
Siye.Kama ni Mtanzania hakuna shida. Halafu wengi wanafikiri ni Naibu Waziri mkuu.
Baba Alaska ndio nani?Siye.
Huenda ikawa ni baba alaska, ni mnyenyekevu, ana misimamo lakini ni muelewa/msikivu.