Hakuna sababu hata moja inayoweza kusimama Samia aendelee 2025..kwake akikubali ghilba hii ni kukosa shukurani kwa Mwenyezi Mungu na ufinyu wa kufikiri kwa wale wanaomsemea aendelee sababu kazi hii ni mzigo mzito, kipindi alichofanya km Makamu na Rais kinatosha si kwake tu kwa mtu yeyote..hivyo anastahili kupumzika, uongozi si kula na kufanya anasa!