Tetesi: Kijana toka Kanda ya Ziwa anaandaliwa baada ya Mihula ya Rais Samia kuisha

Tetesi: Kijana toka Kanda ya Ziwa anaandaliwa baada ya Mihula ya Rais Samia kuisha

Wanasema ili kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi hasa ya kukataa rushwa au ufisadi kutoka Kanda ya ziwa Magharibi lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.

Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa na Magharibi wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita, Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.

Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha yake ni ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl. Nyerere.

Pia soma: Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?

Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM

Kuelekea 2025 - Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030

Sijui kwanini, ila kila nikimtizama Waziri Biteko, ninaona picha ya Urais kwake
Sio raia huyo mtu wenu
 
Hata Nyerere sio Mungu . Labda tu alikuwa anawachukia watu waliobarikiwa .
😂😂😂 Eti Nyerere!!! Kwa hiyo wewe ukitaka kujua hatima yako unamuulizaga Nyerere??? Hakuna binadamu wa kupanga future ya binadamu mwenzake acha uzamani.
 
Wewe ndio unapaswa upewe pole kwa kumchukulia Nyerere kama Mungu wako maana amekufanya kuwa na fikra mgando .
Hii nchi ndo maana haiishi matatizo sababu watu wanaendeshwa na mihemuko na sio reasoning. Eti mtu anakwambia Nyerere alisema!!! Basi atwambie Nyerere alisema baada ya Samia ni nani anafuata kama Nyerere ndo anatupangia marais hadi sasa.
 
Wewe ndio unapaswa upewe pole kwa kumchukulia Nyerere kama Mungu wako maana amekufanya kuwa na fikra mgando .
Hii nchi ndo maana haiishi matatizo sababu watu wanaendeshwa na mihemuko na sio reasoning. Eti mtu anakwambia Nyerere alisema!!! Basi atwambie Nyerere alisema baada ya Samia ni nani anafuata kama Nyerere ndo anatupangia marais hadi sasa.
 
Ngoja tuone itakavyokuwa
Wanasema ili kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi hasa ya kukataa rushwa au ufisadi kutoka Kanda ya ziwa Magharibi lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.

Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa na Magharibi wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita, Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.

Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha yake ni ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl. Nyerere.

Pia soma: Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?

Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM

Kuelekea 2025 - Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030

Sijui kwanini, ila kila nikimtizama Waziri Biteko, ninaona picha ya Urais kwake
 
Wanasema ili kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi hasa ya kukataa rushwa au ufisadi kutoka Kanda ya ziwa Magharibi lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.

Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa na Magharibi wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita, Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.

Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha yake ni ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl. Nyerere.

Pia soma: Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?

Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM

Kuelekea 2025 - Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030

Sijui kwanini, ila kila nikimtizama Waziri Biteko, ninaona picha ya Urais kwake
Kama ni Kafulila watakuwa wamelamba bingo
 
Wanasema ili kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi hasa ya kukataa rushwa au ufisadi kutoka Kanda ya ziwa Magharibi lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.

Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa na Magharibi wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita, Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.

Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha yake ni ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl. Nyerere.

Pia soma: Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?

Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM

Kuelekea 2025 - Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030

Sijui kwanini, ila kila nikimtizama Waziri Biteko, ninaona picha ya Urais kwake
Katika hiyo Kanda ya ziwa mtu pekee ambae anafaa kuwa kiongozi mkubwa wa nchi hii ni yule naibu katibu mkuu
Wanasema ili kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi hasa ya kukataa rushwa au ufisadi kutoka Kanda ya ziwa Magharibi lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.

Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa na Magharibi wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita, Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.

Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha yake ni ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl. Nyerere.

Pia soma: Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?

Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM

Kuelekea 2025 - Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030

Sijui kwanini, ila kila nikimtizama Waziri Biteko, ninaona picha ya Urais kwake
Kijana pekee kutoka Kanda ya ziwa ambae anaweza kuwa Rais wa nchi hii ni yule naibu katibu mkuu pekee. Yule ambae mama yake alikuwa mwenyekiti wa kile kikao Cha Beijing...huyo pekee ndo mwanaume na nusu kutoka hiyo Kanda ya ziwa
 
Back
Top Bottom