Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Mjinga ni wewe usiye na ufahamu kwamba hayo na maoni yangu tu. Hasira zako zipeleke huko kwa mumeo.Wewe ni msemaji wa kanda ya ziwa..jiongelee wewe na ujinga wako!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjinga ni wewe usiye na ufahamu kwamba hayo na maoni yangu tu. Hasira zako zipeleke huko kwa mumeo.Wewe ni msemaji wa kanda ya ziwa..jiongelee wewe na ujinga wako!
Kama ni maoni yako..sema MIMI siyo SISI..bundi mweusi!Mjinga ni wewe usiye na ufahamu kwamba hayo na maoni yangu tu. Hasira zako zipeleke huko kwa mumeo.
Bundi mama yako mzazi. Sisi wa kanda ya ziwa hatufai hata kufikiriwa nafasi ya urais. Funzo la JPM bado lipo vichwani mwetu.Kama ni maoni yako..sema MIMI siyo SISI..bundi mweusi!
Jina tu linasema umetoka ukoo wa bundi..Bundi mama yako mzazi. Sisi wa kanda ya ziwa hatufai hata kufikiriwa nafasi ya urais. Funzo la JPM bado lipo vichwani mwetu.
Kijana punguza bangi, jikite kwenye mada matusi waachie wadogo zako.Jina tu linasema umetoka ukoo wa bundi..
MkagameKwani huyo ni kabila gani?
Sio raia huyo mtu wenuWanasema ili kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi hasa ya kukataa rushwa au ufisadi kutoka Kanda ya ziwa Magharibi lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.
Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa na Magharibi wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita, Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.
Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha yake ni ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl. Nyerere.
Pia soma: Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?
Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM
Kuelekea 2025 - Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030
Sijui kwanini, ila kila nikimtizama Waziri Biteko, ninaona picha ya Urais kwake
OkKwenye Siasa mikoa yote hiyo unaitwa Kanda ya Ziwa
Hao sio Raia kabisaKijana punguza bangi, jikite kwenye mada matusi waachie wadogo zako.
😂😂😂 Eti Nyerere!!! Kwa hiyo wewe ukitaka kujua hatima yako unamuulizaga Nyerere??? Hakuna binadamu wa kupanga future ya binadamu mwenzake acha uzamani.Hata Nyerere sio Mungu . Labda tu alikuwa anawachukia watu waliobarikiwa .
Hii nchi ndo maana haiishi matatizo sababu watu wanaendeshwa na mihemuko na sio reasoning. Eti mtu anakwambia Nyerere alisema!!! Basi atwambie Nyerere alisema baada ya Samia ni nani anafuata kama Nyerere ndo anatupangia marais hadi sasa.Wewe ndio unapaswa upewe pole kwa kumchukulia Nyerere kama Mungu wako maana amekufanya kuwa na fikra mgando .
Kwani JPM ilikuajeJamaa mnampigia sana promo lakini ndani ya chama hana pa kupitia kuchukua hiyo nafasi
Hii nchi ndo maana haiishi matatizo sababu watu wanaendeshwa na mihemuko na sio reasoning. Eti mtu anakwambia Nyerere alisema!!! Basi atwambie Nyerere alisema baada ya Samia ni nani anafuata kama Nyerere ndo anatupangia marais hadi sasa.Wewe ndio unapaswa upewe pole kwa kumchukulia Nyerere kama Mungu wako maana amekufanya kuwa na fikra mgando .
Wanasema ili kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi hasa ya kukataa rushwa au ufisadi kutoka Kanda ya ziwa Magharibi lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.
Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa na Magharibi wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita, Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.
Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha yake ni ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl. Nyerere.
Pia soma: Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?
Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM
Kuelekea 2025 - Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030
Sijui kwanini, ila kila nikimtizama Waziri Biteko, ninaona picha ya Urais kwake
Kama ni Kafulila watakuwa wamelamba bingoWanasema ili kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi hasa ya kukataa rushwa au ufisadi kutoka Kanda ya ziwa Magharibi lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.
Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa na Magharibi wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita, Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.
Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha yake ni ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl. Nyerere.
Pia soma: Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?
Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM
Kuelekea 2025 - Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030
Sijui kwanini, ila kila nikimtizama Waziri Biteko, ninaona picha ya Urais kwake
Kwa Tanzania sio rahisi mtu kuwa Rais bila kupita baraza la mawaziri.Kafulila hata Mimi nitaiunga mkono CCM
Katika hiyo Kanda ya ziwa mtu pekee ambae anafaa kuwa kiongozi mkubwa wa nchi hii ni yule naibu katibu mkuuWanasema ili kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi hasa ya kukataa rushwa au ufisadi kutoka Kanda ya ziwa Magharibi lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.
Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa na Magharibi wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita, Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.
Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha yake ni ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl. Nyerere.
Pia soma: Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?
Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM
Kuelekea 2025 - Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030
Sijui kwanini, ila kila nikimtizama Waziri Biteko, ninaona picha ya Urais kwake
Kijana pekee kutoka Kanda ya ziwa ambae anaweza kuwa Rais wa nchi hii ni yule naibu katibu mkuu pekee. Yule ambae mama yake alikuwa mwenyekiti wa kile kikao Cha Beijing...huyo pekee ndo mwanaume na nusu kutoka hiyo Kanda ya ziwaWanasema ili kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi hasa ya kukataa rushwa au ufisadi kutoka Kanda ya ziwa Magharibi lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.
Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa na Magharibi wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita, Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.
Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha yake ni ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl. Nyerere.
Pia soma: Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?
Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM
Kuelekea 2025 - Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030
Sijui kwanini, ila kila nikimtizama Waziri Biteko, ninaona picha ya Urais kwake