Tetesi: Kijana toka Kanda ya Ziwa anaandaliwa baada ya Mihula ya Rais Samia kuisha

Ujinga tu. Hii nchi imelogwa na nani?
Unaweza utashangaa wewe ni mtu tegemek ndani ya ccm ndo unaandika huu utumbo

Tuahimize kuandika katiba mpya tuache kubahatisha
 
Comments reserved
 

Pumba tupu. Bila kutubu sijui hata kama atakuwepo. Msidanganywe na umri vijana tendeni wema na mkikosea tubuni tena kama ni kitu cha jamii tubuni waziwazi bila hivyo hakuna kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…