Watoto sio hadi saa 4 usiku, mkiamua unaweza kutoka ofisini saa 5 asubuhi ukaenda nyumbani mkapiga kimoja cha Kizee na mimba ikaingia kisha ukarudi zako Kazini 🤗Saa 4 nakuwa busy sana, kiufupi hii routine labda baadae sana 😂 🤣
Hudumia hivyo vyote kama uko peke yako,ukiwa haupo peke yako,unaonekana boya sana,unaweza ukawa unahudumia hivyo,halafu wengine wanaichapa bila kuhudumia.Kaa kimaster,toa hela polepole.Sio kuhonga ni kumuhudumia mpenzi wako.
Mbona Wazee tunahudumia,
Lazima kuhakikisha msichana wako ameenda Saluni, umemnunulia gesi, umemlipia kisimbuzi, umemlipia Kodi ya nyumba bila kusahau kumlipia Kikoba, maana bila hivyo hautaweza kupewa vya uvunguni 😜
NB; Jikune Mkono unapofikia
Naelewa Sana kuwa familia ni muhimu, ngoja nimpate aliye sahihi kwanza.Watoto sio hadi saa 4 usiku, mkiamua unaweza kutoka ofisini saa 5 asubuhi ukaenda nyumbani mkapiga kimoja cha Kizee na mimba ikaingia kisha ukarudi zako Kazini 🤗
Kuzaa mapema Kuna Faida nyingi, ukiwa mtu wa mishe mishe(biashara ) unaweza kukuta taratibu umeanza kumrithisha baadhi ya majukumu ya kiofisi mwanao wa kwanza
Siku unaumwa, yeye anaongoza Taasisi(Biashara)
Hahaha...........Mimi sijawahi kukumbwa na hiyo changamoto pamoja na Uzee huu nilionaoUnaweza ukamfanyia vyote hivyo na bado asikupe mkuu
We jamaa😄 kape katotokatoto kwa 2004 kanaitakaView attachment 3226951
Hata mimi nashangaa ukija Jf kelele kibao ila kiuhalisia si kweli😁😁Tqtizo ni kuwa mnaandika tu humu, ila uhalisia mtaani ni tofauti kabisa. Wanaume, tena ambao wanatafuta kwa jasho sana ndio wanatoa senti zao za mwisho ili wanawake zao wafurahie maisha.
Wengine wasingexaliwa mkuu1. Ni bei ya Samaki kilo moja
2.Ni bei ya kuku wa nyama mmoja na chenchi inabaki
3.Unatoa mikeka 10 ya buku kwa mhindi
4. Sukari kilo 3
5. Dona kilo 4
6. Mchele super kilo 4
7. Maziwa ya Ng'ombe lita 4
8. Soda take away 10
9. Luku unit 28
10. Tofali za ujenzi 10
Kama demu una muhudumia lazima uhakikishe anafata maagizo yako ikiwemo kutokuwa na Mwanaume mwingine, ikitokea ndiyo mahusiano yanakuwa yamefikia mwishoHudumia hivyo vyote kama uko peke yako,ukiwa haupo peke yako,unaonekana boya sana,unaweza ukawa unahudumia hivyo,halafu wengine wanaichapa bila kuhudumia.Kaa kimaster,toa hela polepole.
Huenda kelele zikasaidia huko mbeleni mkuu🤣🤣 ila kwa sasa hali mtaani ni tofauti na ilivyo hapa jf. Vijana wanajitoa sana, senti zao za mwisho wanatoa ili tu wanawake zao wafurahi.Hata mimi nashangaa ukija Jf kelele kibao ila kiuhalisia si kweli😁😁
Ndivyo huwa inakua,unakuta anayesaka hela kwa jasho jingi,ndo anahonga pakubwa.Mtu anasaidia fundi,anapewa 10 au 15 kwa siku,halafu anahonga 6000,huyo kahonga pakubwa sana,tofauti na mtu anayepata 40000 kwa siku,halafu yawezekana akampa demu msosi tu au akagonga kwa status tu.Tqtizo ni kuwa mnaandika tu humu, ila uhalisia mtaani ni tofauti kabisa. Wanaume, tena ambao wanatafuta kwa jasho sana ndio wanatoa senti zao za mwisho ili wanawake zao wafurahie maisha.
Usihangaike na hizo degree, hakikisha unapata mtu sahihi tuNaelewa Sana kuwa familia ni muhimu, ngoja nimpate aliye sahihi kwanza.
Chief tatizo la uaminifu ni kubwa sana,we unadhani hawahudumiwi,yaani unakuta unahudumia na anajua hupendi kushea,lakini unagongewa,ndomaana nawasihi wenzangu kuhudumia kwa AKILI,hawa watu ni SIRI tu ndo inafanya tucheke nao,ila kiukweli usaliti ni mkubwa ssna.Kama demu una muhudumia lazima uhakikishe anafata maagizo yako ikiwemo kutokuwa na Mwanaume mwingine, ikitokea ndiyo mahusiano yanakuwa yamefikia mwisho
Ila wakati huo, na wewe Mwanaume unatakiwa kuhakikisha unamuhudumia
Sio akikwambia Kodi ya Chumba imeisha uanze kumpiga sound, Kwa kufanya hivyo unapelekea msichana wako kuanza kuingia Kwenye vishawishi.
Lakini inapofikia wakati wa kumuhudumia kitandani, hakikisha unampa haki yake kisawasawa sio kumuonja na kumuacha na hamu zake
Ndio maana wazee mkituomba tunawapa.Sio kuhonga ni kumuhudumia mpenzi wako.
Mbona Wazee tunahudumia,
Lazima kuhakikisha msichana wako ameenda Saluni, umemnunulia gesi, umemlipia kisimbuzi, umemlipia Kodi ya nyumba bila kusahau kumlipia Kikoba, maana bila hivyo hautaweza kupewa vya uvunguni 😜
NB; Jikune Mkono unapofikia
Manesi na madaktari try at your own risk.Usihangaike na hizo degree, hakikisha unapata mtu sahihi tu
Ila kuwa na girlfriends japo 3 kisha unapick the right candidate
Huko Vijijini Kuna Wanawake wazuri tu ambao ukisema ukae nao, ni watii na wanajua kufanya vitu Kwa usahihi ukiwaelewesha
Kuna watendaji wa Vijiji/Mitaa/Manesi/Madaktari/Walimu n.k
Hakuna mtu anaweza kutoka nje ya maumbile yake,Yes Wanaume wameumbwa kutoa na. Wanawake wameumbwa kupokea😍Huenda kelele zikasaidia huko mbeleni mkuu🤣🤣 ila kwa sasa hali mtaani ni tofauti na ilivyo hapa jf. Vijana wanajitoa sana, senti zao za mwisho wanatoa ili tu wanawake zao wafurahi.
Nakubaliana na hilo, swala la usaliti limekuwa kubwa miaka yenu hiiChief tatizo la uaminifu ni kubwa sana,we unadhani hawahudumiwi,yaani unakuta unahudumia na anajua hupendi kushea,lakini unagongewa,ndomaana nawasihi wenzangu kuhudumia kwa AKILI,hawa watu ni SIRI tu ndo inafanya tucheke nao,ila kiukweli usaliti ni mkubwa ssna.