Kijana unae kataa kuoa hivi ndivyo unatakiwa kuishi

Kijana unae kataa kuoa hivi ndivyo unatakiwa kuishi

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
kataa ndoa uishi miaka mingi ya furaha

Damka saa kumi na moja anza usafi wako wa ndani unapo lala deki choo chako vizuri sio kila siku kwa wiki ukifanya siku tatu sio mbaya

Baada ya hapo tandika kitanda chako vizuri tu hii ina kusaidia siku unaweza ukazidiwa ukaletwa kwako ujitambui wakakuta pasafi kabisa ukaondoa aibu nje unaonekana msafi ndani unapo lala ovyo na pia at mwanamke akija kwako lazima aogope kidogo

Kisha loweka nguo zako ulizo vaa jana usiku morng unazifua mimi huwa na fanya ivyo nikirudi kwenye maangaiko yangu naanua na kunyoosha kama hivi


Na unazikunja good kabisa


Ukifanya hivi ata mwanamke akija kwako ata kuheshimu tu anajua huyu simtishi kwa lolote kila kitu anafanya mwenyewe na mwanamke akija kwako usimpe nafasi ya kugusa ata soksi kufua yaan nguo zako afanye kilicho mleta asepe vingine fanya mwenyewe wanawake watakuogopa serious
1739900145948.jpeg
 
kataa ndoa uishi miaka mingi ya furaha

Damka saa kumi na moja anza usafi wako wa ndani unapo lala deki choo chako vizuri sio kila siku kwa wiki ukifanya siku tatu sio mbaya
View attachment 3233160
Baada ya hapo tandika kitanda chako vizuri tu hii ina kusaidia siku unaweza ukazidiwa ukaletwa kwako ujitambui wakakuta pasafi kabisa ukaondoa aibu nje unaonekana msafi ndani unapo lala ovyo na pia at mwanamke akija kwako lazima aogope kidogo
View attachment 3233163
Kisha loweka nguo zako ulizo vaa jana usiku morng unazifua mimi huwa na fanya ivyo nikirudi kwenye maangaiko yangu naanua na kunyoosha kama hivi

View attachment 3233166
Na unazikunja good kabisa

View attachment 3233167
Ukifanya hivi ata mwanamke akija kwako ata kuheshimu tu anajua huyu simtishi kwa lolote kila kitu anafanya mwenyewe na mwanamke akija kwako usimpe nafasi ya kugusa ata soksi kufua yaan nguo zako afanye kilicho mleta asepe vingine fanya mwenyewe wanawake watakuogopa serious
Unaturingishia kitanda mkuu, basi weka na hiyo simu protector
 
kataa ndoa uishi miaka mingi ya furaha

Damka saa kumi na moja anza usafi wako wa ndani unapo lala deki choo chako vizuri sio kila siku kwa wiki ukifanya siku tatu sio mbaya
View attachment 3233160
Baada ya hapo tandika kitanda chako vizuri tu hii ina kusaidia siku unaweza ukazidiwa ukaletwa kwako ujitambui wakakuta pasafi kabisa ukaondoa aibu nje unaonekana msafi ndani unapo lala ovyo na pia at mwanamke akija kwako lazima aogope kidogo
View attachment 3233163
Kisha loweka nguo zako ulizo vaa jana usiku morng unazifua mimi huwa na fanya ivyo nikirudi kwenye maangaiko yangu naanua na kunyoosha kama hivi

View attachment 3233166
Na unazikunja good kabisa

View attachment 3233167
Ukifanya hivi ata mwanamke akija kwako ata kuheshimu tu anajua huyu simtishi kwa lolote kila kitu anafanya mwenyewe na mwanamke akija kwako usimpe nafasi ya kugusa ata soksi kufua yaan nguo zako afanye kilicho mleta asepe vingine fanya mwenyewe wanawake watakuogopa serious
Kwani kuajili wafanya kazi ni haramu ...mimi sijaoa nina House girl 3 na house boy 1...wapo watu wana wake ila wanafuliwa nguo na house girls hoja zako ni za kipumbavu
 
Kwani kuajili wafanya kazi ni haramu ...mimi sijaoa nina House girl 3 na house boy 1...wapo watu wana wake ila wanafuliwa nguo na house girls hoja zako ni za kipumbavu
Sawa ndio maana nimesema ndoa batili unaoa af nguo anafua house girls ili iweje? Ulie muoa ana jukumu lipi?
 
Kwaji house girls awatakiwi kufanya kazi za kufua nguo sasa unamweka.wa nini kama atakiwi kujmfagia kupasi kusafisha choo na bafu ..kupika basi huyo house girls ni malikia na mkeo ndiye house girl wako😁😁😁😁
Sawa ndio maana nimesema ndoa batili unaoa af nguo anafua house girls ili iweje? Ulie muoa ana jukumu lipi?
 
Kwaji house girls awatakiwi kufanya kazi za kufua nguo sasa unamweka.wa nini kama atakiwi kujmfagia kupasi kusafisha choo na bafu ..kupika basi huyo house girls ni malikia na mkeo ndiye house girl wako😁😁😁😁
Mimi binafsi sitaki kula chakula cha house girls wala kufuliwa nguo naye afanye majukumu yake kama kuwaanda watoto usafi wa nyumba kuwapikia watoto chakula ila chakula changu mimi nachotaka kula nipikiwe na mke wangu
 
Back
Top Bottom