Kijana unayejitafuta kimaisha, katika utafutaji wako Zanzibar iweke namba moja

Sio powa
 
Ushaur sio mbaya ila Zanzibar kunataka uwe na connection za kutosha maana hakuna sehemu yenye ubinafsi kama uko
ct
 
Ushaur sio mbaya ila Zanzibar kunataka uwe na connection za kutosha maana hakuna sehemu yenye ubinafsi kama uko
 
Washkaji walishanitonya kitambo Zanzibar ujenzi raia wanakamata 15 per day, Ukijikunja miezi mitatu Milioni unakuwa umeisogelea. Sema nauli ya kunitoa huku karagwe hadi Zanzibar ndio mtiti bado naitafuta.
Karagwe kuna maisha kuliko zenji, fumbua macho
 
# fursa wawekezaji
1300
 
Msisahau mkija na wanawake wawe wengi hasahasa kutoka kanda ya ziwa ukerewe iwemo nahisi wazee wa kodi mshaijua naana wachaga na wa wapare wamejaa tunataka na kanda ya ziwa wanawake mje zanzibar
 
Hi Zanzibar inayo zungumzwa hapa ni hi hi ambayo hata mimi naendaga kutalii? Au Zanzibar nyingine nisio ijua? Winga wa Kariakoo anaweza kutengeneza pesa nyingi kuliko msoteaji wa Zanzibar. It's true Zanzibar kuna kazi nyingi but mshahara wake ni mdogo sana na maisha ya Zanzibar yako ju sana kuliko Dar.
 
Msisahau mkija na wanawake wawe wengi hasahasa kutoka kanda ya ziwa ukerewe iwemo nahisi wazee wa kodi mshaijua naana wachaga na wa wapare wamejaa tunataka na kanda ya ziwa wanawake mje zanzibar
Wanawakenwa bara wa nn mkuu? Mm nimepata mshangazi mmoja Michamvi una trako la kwenda. Siku ya kwanza nilokutana nao ulinipitia karibu unanukia al-Udi nkadinda masaa 3.. kuna mimama inajipenda wazee sio poa
 
Wanawakenwa bara wa nn mkuu? Mm nimepata mshangazi mmoja Michamvi una trako la kwenda. Siku ya kwanza nilokutana nao ulinipitia karibu unanukia al-Udi nkadinda masaa 3.. kuna mimama inajipenda wazee sio poa
Lishangazi la kizanzibari au la kutoka huku kwetu baraπŸ˜€πŸ˜€.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…